99% ya power bank zote zilizopo sokoni Tanzania ni fake

wapi nilipo lazimisha kuwa wote mkae ofisini? mbona unapanic faster hivi? hembu rudi tena kasome michango yangu ndo utanielewa zaidi. nimesema kuwa kwangu hiyo mi powe bank haina maana yoyote, ni kwaajili ya watu wa mishemishe, na mmoja wao ni wewe, unaweza beba hata power bank tatu power to, ukiweza beba na genereta kabisa.
Ila wewe jamaa eti ukiweza beba na jenereta duu nimecheka Sana'a..
 
pole mkuu tafuta TECNO POWER BANK NI NZURI SANA.mi nahisi nilibahatika yangu nilinunua mwaka juzi ikijaa unachaji smartphone 4 zikiwa na 0.5% ya charge iliyobaki hadi 100% na vitochi vi 2

Ya kwangu ya Tecno tokea 2014 mpaka leo inapiga kazi vizuri.
 
dr magu imulike tbs tumechoka kununua power banks, memory card na charger mbovu
 
Power Bank Og nauza,ila ni ,usikariri mkuu kwamba hazipo ila za huko madukani zote feki.
Nitafute pm nikupatie
 
watts pekee si kigezo, hadi voltage pia ziendane, huwezi tumia powerbank ya simu au laptop kwenye freezer hata iwe na mah 1,000,000,000 kama output yake ni 5v

labda ununue hio home power kama ya tesla ambayo bei yake ni kama mara 5 ya hilo freezer
bei mkuu ya hiyo tesla
 
16 gb 22,000
32 gb 40,000
64 gb 54,000
Flash 64 gb 54,000
Nina flash disk ya 64gb, ambayo two ways, unaweza connect kwa pc au smart phone.

Niliweka movies kadhaa kutoka kwenye phone yangu, baada ya muda nikataka niziangalie kwa pc, ila zimegoma kucheza. Kurudisha kwenye simu pia zimegoma. Najiuliza tatizo ni nini? Fake flash disk au..
 
Nina flash disk ya 64gb, ambayo two ways, unaweza connect kwa pc au smart phone.

Niliweka movies kadhaa kutoka kwenye phone yangu, baada ya muda nikataka niziangalie kwa pc, ila zimegoma kucheza. Kurudisha kwenye simu pia zimegoma. Najiuliza tatizo ni nini? Fake flash disk au..
IMAG5672_2.jpg
Flash disk yenyewe ndio hii
 
hilo jina tu kimeo, hio bidhaa sio ya samsung. nunua waya wa usb otg chomeka flash ya kawaida kwenye simu huna haja ya flash za design hio.
Sijakupata hapo, Waya wa USB otg, flash ya kawaida. Kama Una picha yake fanya uitupie hapa tafadhali..
 
Duh! niliwahi kbebeshwa bonge la mdude , ukisoma namba zilizoandikwa utatosha lakini hata simu moja halijazi
 
Sijakupata hapo, Waya wa USB otg, flash ya kawaida. Kama Una picha yake fanya uitupie hapa tafadhali..
unakuwa ni waya upande unachomeka kwenye simu na upande unachomeka kifaa chako cha usb kama hio flash

0019372_thumb.jpeg


unaweza chomeka mouse, keyboard, flash, external hdd, modem etc
 
Nina flash disk ya 64gb, ambayo two ways, unaweza connect kwa pc au smart phone.

Niliweka movies kadhaa kutoka kwenye phone yangu, baada ya muda nikataka niziangalie kwa pc, ila zimegoma kucheza. Kurudisha kwenye simu pia zimegoma. Najiuliza tatizo ni nini? Fake flash disk au..
VIRUSI
 
yan wewe powerbank yako ina 12k mah na inajaza 3k mah ya betr lako 4 times?? not true ubovu naona unaanzia kwa betr la cm yako kwanza afu hesabu hazipigwi hivo mkuu kuna powerloss we hujatoa bado efficiency ya betri
 
sio tu kwamba ni bora ila pia ni wawazi mfano angalia page yao ya powerbank
-mechanism ya kuchaji na kuacha kuchaji ni nine layers ya texas instrument
-mabattery wananunua factory za lg na samsung

Mi Power Bank 10400mAh - Mi Global Home

hivyo unaelewa kila kifaa kimetoka wapi,
ninazo hizo battery za samsung original four of them nauza mbili zina 2200mah each na nyingine mbili ni 2800mah each model ni ICR 22FU kwa ICR 28A moja inaeza fika had elfu 20 bei ...kama unajumba la kuzieka ndani nitafute
 
Chief Mkwawa Nisiseme Uongo Xiaomi Yangu Mpaka Leo Ninayo na Niliinunua Bei Ghali ila Sijutii Mpaka Leo... Ni 10400mAh kwa Elfu 50.. ingawa Kuna Za Kichina Zilikuwa zina Hadi 20000mAh nikazipiga Chini

Hii yangu niliiangusha Mara Tatu Ilitoka Kwenye Meza Ikapiga chini . Nikajua Imekufa Ila Inapiga Mzigo Mpka sa Hivi

Kuna Jamaa Pia Alinifuata PM anaotafuta Nikamuelekeza Mahali I hope Ataipata
mkuu nielekeze namimi nataka kununua
 
Back
Top Bottom