99% ya power bank zote zilizopo sokoni Tanzania ni fake

Electronics accessories nyingi madukani ni za viwango vya chini ama fake kwa miaka hii, sio mouse, keyboard, USB hubs, chargers, Flash drives, pci cards, headphones, yani wafanya biashara wanaenda na mziki wa rahisi kwa faida kubwa. Kuna maduka ukiingia unaweza ukakagua duka zima na usikute bidhaa yeyote genuine, labda milango na grill maana hata wauzaji nao ni feki tu.
Na hili tatizo limekua sugu lipo kila upande ukienda maduka ya hardwares utasikitika, hawa TBS sijui wanafanya kazi gani. labda wameamua kubana matumizi kwa kupunguza baadhi ya majukumu yao muhimu kama haya ya kupambana na bidhaa feki.
 
Kumbe hili janga tunalo watu wengi eeh, mimi nina power bank aina ya samsung ukiichaji ndani ya 24 hrs utumie au usitumie inaisha charge bila hata kuchajisha simu!!
 
kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.

na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.

lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.

nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2

mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.

na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.

na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.

Yaan unachokifanya wewe ni sawa na wanandoa wawili wanazozana kuhusu kuzaa, mwanamke anapiga kelele kwamba mumewe hazalishi wakat huo huo anashindwa kuelewa kwamba inaezekana na mwenyew hana mayai. Kwa mantiki hiyo inaezekana simu au betri yako ndio fake, kwahiyo ukitumia kwenye power bank original utahis ufake tu.
 
kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.

na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.

lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.

nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2

mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.

na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.

na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.
Nunua simu yenye battery 4000 na kuendelea
 
Yaan unachokifanya wewe ni sawa na wanandoa wawili wanazozana kuhusu kuzaa, mwanamke anapiga kelele kwamba mumewe hazalishi wakat huo huo anashindwa kuelewa kwamba inaezekana na mwenyew hana mayai. Kwa mantiki hiyo inaezekana simu au betri yako ndio fake, kwahiyo ukitumia kwenye power bank original utahis ufake tu.
ww lazima utakuwa unauza power bank fake na wakiluda kuja kubadilisha na hivyo ndivyo unavyo wajibu.
 
Unaongea tu wewe, ingekua ni hivyo power bank zisingeuza hata nchi za nje, nchi nyingi ambazo umeme haukatiki ka bongo bado watu wananunua power bank, tena watu wenye high end products na wananunua sana kuliko bongo ambapo umeme unakatika kila wiki. Hujaona hata Apple wanauza power banks? au unadhani wanatengeneza ili wauzie waafrika ambao hawana ofisi? Kama huoni use ya power bank probably una boring life, kama ulivyosema asubuhi hadi jioni ofisini, usiku nyumbani umemaliza.
Umemaliza mkuu
 
mkuu ndio unajua leo? sio power bank tu hata charger, memory card na vi accessory vidogo vidogo 99% ni fake.

power bank original Tanzania nunua za xiaomi tena sio zile clone za aggrey nunua zenyewe original. yangu nilinunua highlife, Toka ninunue hadi leo ipo na uwezo wake ule ule na kuna member pia humu wana xiaomi power banks wanaweza kuja kukupa ushahidi

RGforever

mimi yangu ni 16000mah na inatoa 10,000mah kama 6000mah zinapotea na hii wamesema kabisa xiaomi kwenye manual yao. simu za kawaida hizi flagship utachaji mara 3 hadi 4
Sasa xiaomi oroginal inapatikana wapi mkuu
 
ww lazima utakuwa unauza power bank fake na wakiluda kuja kubadilisha na hivyo ndivyo unavyo wajibu.

Hahahaha mkuu simo kabisa kwenye hizo biashara za simu wala powerbank ila naona jamaa anashupalia suala la powerbank wakat hata simu zinazokuja Tanzania asilimia kubwa ni fake, sasa kwanini asiiwazie japo na simu yake walau
 
Kweli kabisa, mimi sijawahi nunua hiyo mikitu wala sijawahi tumia, Nilichogundua ni kuwa watumiaji wengi wa hizi power bank ni watu wa misheshe au watu wa mision town kwasana, watu wasio na address maalum au ofisi maalum, watu wa vijiweni. Mimi naingia ofisini saa mbili kamili na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni, muda wote nipo ofisini na access ya umeme full time, nyumbani umeme full time. Hapo sasa power bank ya nini?
Tupo tofauti.... ushawahi kujiuliza kwann hata vidole vya kwenye mkono wako mwenyewe havilingani??
 
mkuu ndio unajua leo? sio power bank tu hata charger, memory card na vi accessory vidogo vidogo 99% ni fake.

power bank original Tanzania nunua za xiaomi tena sio zile clone za aggrey nunua zenyewe original. yangu nilinunua highlife, Toka ninunue hadi leo ipo na uwezo wake ule ule na kuna member pia humu wana xiaomi power banks wanaweza kuja kukupa ushahidi

RGforever

mimi yangu ni 16000mah na inatoa 10,000mah kama 6000mah zinapotea na hii wamesema kabisa xiaomi kwenye manual yao. simu za kawaida hizi flagship utachaji mara 3 hadi 4
Sorry,
Memory card card ni nzuri maana ninazo km 3 zote feki zinasumbua nataka nikatafute oeijino ya kuanzia GB 8
 
Nunua techo utaacha kutembea na mi powey bank boom j 8 yangu haina wenge kwenye chaji
kwa matumizi makubwa sidhani hata kama masaa 5 inatoboa hio, wewe ndio huna matumizi thats why inakaa na chaji sababu simu za mediatek ni vimeo sana kwenye chaji.
 
Sorry,
Memory card card ni nzuri maana ninazo km 3 zote feki zinasumbua nataka nikatafute oeijino ya kuanzia GB 8
class 10 uhs 1 au 3, brand yoyote kubwa iwe sandisk, samsung inafaa.

hio class huandikwa juu ya memory card na uhs huandikwa kama kialama cha U chenye namba moja au 3

MB-MGCGB-EU-334212-2.jpg


ila ni za kutafuta sana, hasa hasa maduka ya camera ndio utazipata zinakuwa na adapter
 
kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.

na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.

lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.

nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2

mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.

na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.

na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.
Hiyo fast charging ndiyo original?
 
Nunua techo utaacha kutembea na mi powey bank boom j 8 yangu haina wenge kwenye chaji
Matumizi yako kiduchu mkuu. BOOM J8 ni 3000mah. Kwa watumiaji wakuu kama mimi haitoshi.Mimi kidogo simu yangu ina 4850mah.Kidogo inanivuta
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom