9 Most racist Countries in the World

9 Most racist Countries in the World

Is there any documented evidence about these allegations??

Jamaa anaandika kwa kukariri ila hajui historia kabisa

Abdallah Salim Al Sabah alikuwa ni Mfalme wa Kuwait zamani (mweupe)

Alimuoa kijakazi wao (mtumwa) na akazaa nae watoto na mmoja wa vijana wake Saad Abdallah Salim Al Sabah (mweusi kabisa kwa rangi ya mama) akaja kuwa Mfalme wa Kuwait baada ya binamu yake Sheikh Jabir kufariki
Kweli tembea uone dunia hii na mambo yake

I was there
 
Is there any documented evidence about these allegations??

Jamaa anaandika kwa kukariri ila hajui historia kabisa

Abdallah Salim Al Sabah alikuwa ni Mfalme wa Kuwait zamani (mweupe)

Alimuoa kijakazi wao (mtumwa) na akazaa nae watoto na mmoja wa vijana wake Saad Abdallah Salim Al Sabah (mweusi kabisa kwa rangi ya mama) akaja kuwa Mfalme wa Kuwait baada ya binamu yake Sheikh Jabir kufariki
Kweli tembea uone dunia hii na mambo yake

I was there
IMG_4185.jpg
 
Argentina ndiyo nchi mbaya sana kwa ubaguzi wa rangi. Katika nchi za bara la america ya kusini, ni nchi iliyokuwa inaongoza kwa kuwa na weusi wengi. Lakini karne ya 19-20 walianzisha mipango ya kishetani kuua weusi kwa kutumia chanjo, vifungo vya maisha etc...mpaka kizazi chote cha weusi kikapotea.

Na ndiyo sababu hata sasa timu zote za kitaifa za soka za america ya kaskazini na kusini utakuta kuna weusi lakini huoni mtu mweusi katika timu ya taifa ya agentina.

Je timu lako la taifa stars lina mchezaji mweupe hata mmoja??? Kwahiyo na cc pia ni wabaguzi co???
 
... kumkataa padre mweusi kuendesha mazishi Norway haiodoi ukweli wa utafiti (scientific research) kwamba India, Lebanon, Bahrain, Libya, Egypt, Philippines, Kuwait, Palestine, and South Africa ndizo zinazoongoza kwa ubaguzi wa rangi dunani kwa sasa. Kunaweza kuwa na mabadiliko mbeleni huko kizazi kijacho ila kwa sasa hao ndio vinara!
Soma msg zote halafu utafahamu kwanini nimeandika hivo,sawa rafiki??
 
Mtu mweusi alizunguka dunia,hakutumia usafiri wowote,kwasababu alikuwa mrefu,mwenye afya,kwa kifupi katika Qur'an na hata Biblia,wametajwa hio mijitu mikubwa,ilikuwa ikivuka Bahari maji hayajavuka,unyao.
Acha porojo. Kuna mambo ya kukaa kuongea wakati wa kucheza bao na kuna mambo ya kuongea sehemu kama hii. Tofautisha please.
 
Kuna baadhi ya vitabu kwenye Biblia vilitolewa kwa sababu ziszojulikana(mimi sio mtaalamu wa Biblia)moja ya kitabu hicho ni kitabu cha Enock(enoch),kina historia kubwa ya ulimwengu huu.
Jamaa yaani unaokota okota huna hata reference....unadhani tunacheza bao hapa na kunywa al kasusu..... Ongea kama msomi usidanganye watu
 
yani uracist ni kwa ajili ya watu weusi tu ama? hii maana ya ubaguzi imegeuzwa kabisa kwenye hizi zama.
 
Hizi taarifa ni uwongo kama Ukraine Argentina na Rusia hayupo bila kumsahau Italy.
 
Kwani ni jambo gani hasa linafanya ngozi nyeusi isiheshimike??
 
Waarab ni watu wa hovyo sana wale watu! Inshort watu wa Asia ni wa hovyo sana! Sijui watu weusi wenye asili ya Afrika waliwafanyaga nini hawa watu... yaan sielewagi beef la waarab na waafrika source ni nini 😂🙌🏾
 
Mbona Watanzania ndio tunaongoza kubaguana wenyewe mkuu . Njoo hapa Meru uone
 
Back
Top Bottom