9 Most racist Countries in the World

9 Most racist Countries in the World

Mwarabu ni mtu mweusi,ni baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,kutoka mashariki ya ulaya, ndio kukapatikana weupe(machotara wa kizungu na kiarabu(weusi).Kwa hiyo kuna ubaguzi,ni machotara(wa kizungu na kiarabu),kuwabaguwa weusi wenzao,kwa huko kuchanganya weupe wa kizungu
Kwahiyo Mtume alikuwaa mweus kumbe ASANTE KWA TAARIFA
 
Kwahiyo Mtume alikuwaa mweus kumbe ASANTE KWA TAARIFA
Mitume yote,walikuta utumwa upo duniani,hata Yesu,alikutia utumwa upo,,Musa alikuta utumwa upo,ndio alipowakomboa Wanaisrael kutoka utumwani,kuwapeleka nchi ya ahadi.Na Musa alikuja mwanzo kabla ya Yesu.
 
Mitume yote,walikuta utumwa upo duniani,hata Yesu,alikutia utumwa upo,,Musa alikuta utumwa upo,ndio alipowakomboa Wanaisrael kutoka utumwani,kuwapeleka nchi ya ahadi.
Ok umenivutia nifanye na ww mjadala mdogo naomba unipe periodization ya mtu mweus wa kwaza kukanyaga ASIA au ulaya kama mtumwa
 
Ok umenivutia nifanye na ww mjadala mdogo naomba unipe periodization ya mtu mweus wa kwaza kukanyaga ASIA au ulaya kama mtumwa
Watumwa walikuwako wazungu weupe wa mashariki,ndio wa mwanzo,kupelekwa nchi za arabuni.Wakati huo tayari mtu mweusi(muarabu),alikuwa ameshatoka Afrika,kwenda huko,mashariki ya kati.Inasemekana hata jina la bara la Afrika,jina la mfalme wa mwanzo,aliyehamia mashariki ya Kati,akiwa ni mweusi,na ndio kizazi kikaitwa Arab(mchanganyiko A kwa maana ya Afrika na rab,chotara wa kizungu.)
Hawa waarabu wa asili,wapo baadhi ya sehemu,na kuna kisiwa kipo,Yemen,wapo wengi tu,ni mji wao.Hata ukifika nchi za kiarabu,waarabu Rangi sio weupe kama wazungu(wao ni machotara wa weusi na weupe).Mzungu anamuhesabu muarabu ni mtu mweusi,sio mtu mweupe(white)
 
Watumwa walikuwako wazungu weupe wa mashariki,ndio wa mwanzo,kupelekwa nchi za arabuni.Wakati huo tayari mtu mweusi(muarabu),alikuwa ameshatoka huko,mashariki ya kati.Inademekana hata jina la bara la Afrika,jina la mfalme wa mwanzo,aliyehamia mashariki ya Kati,akiwa ni mweusi,na ndio kizazi kikaitwa Arab(mchanganyiko A kwa maana ya Afrika na ran(chotara wa europe)
Mkuu una tiririka ila neno tu AFRICA naomba nikwambie haijulikan ni nan aliazisha kuna debate kuhusu the word Africa...so kwa maelezo yako unamaniisha historical inhabitants of asia walikuwa ni waaarabu weusi????.....utumwa sikati umeaza miaka mingi mfano China walikuwa under slavery kwenye DYNASTY zao lkn watumwa walikuwa wachna wenzao hao weusi unaosema ww hapa middle east na ulaya walitoka wapi?????
 
Wameandaa wao wakijiweka lengo halitatimia
Mafala sana.
Ukifuatilia historia ya the hate you give thug life utajua hakuna sehem watu weusi walinyanyasika na wanabaguliwa kama USA.
Kuna mauaji ya kimbali yalifichwa ya watu weusi hapo USA.
 
Wahindi ubaguzi ni moja ya jadi yao, huko kuna classes (castes), caste ya kwanza ni Wafanya biashara/matajiri, ya pili ni wanasiasa, ya tatu ni wafanya kazi/ middle class na nne na mwisho ni wale wa haki ya chini sana ambamo humo ndimo kuna ombaomba nk,--- kumbuka pia class zote hizo ni Indians isipokuwa ni makabila tofauti tofauti tu, sasa kama Muhindi anaweza kumbagua muhindi mwenziye vipi wewe mtu mweusi usiyekuwa Muhindi??!!.

Kuhusu Waisraeli, wao ubaguzi unaanza ndani ya Torati yao, ubaguzi ni mafundisho ya dini yao, na mfano ni huko kwao Israeli ambapo Waizraeli wa asili ya Ethiopia (mafalasha) Wanabaguliwa kishenzi.
India haifai kuzamia
 
Mkuu una tiririka ila neno tu AFRICA naomba nikwambie haijulikan ni nan aliazisha kuna debate kuhusu the word Africa...so kwa maelezo yako unamaniisha historical inhabitants of asia walikuwa ni waaarabu weusi????.....utumwa sikati umeaza miaka mingi mfano China walikuwa under slavery kwenye DYNASTY zao lkn watumwa walikuwa wachna wenzao hao weusi unaosema ww hapa middle east na ulaya walitoka wapi?????
Mtu wa kwanza kusafiri duniani,ni mtu mweusi,alitokea Afrika .Kabla hata mzungu,hajasafiri kokote.Na mtu wa kwanza kuumbwa duniani ni mtu mwenye rangi nyeusi,kwa mujibu wa Qur'an,kwamba ulitumika udongo mweusi ndio kuumbwa binadamu.sisi ndio tunawaita waarabu watu weupe,lakini mzungu, anamuhesabu muarabu ni mtu mweusi.Na ndio ukaona duniani kote,aliyechanya weupe na weusi ndio anaitwa chotara(AfroAmerika,Afro...nk,au halfcast)
 
... lakini hao wazungu hawamo kwenye hiyo list ya racists! Kuna swali limeulizwa mara nyingi ila halijawahi pata majibu ya kueleweka; kwamba slave lords walikuwa arabs ila "people of color" hawapo uarabuni; why?

Waarabu utumwa hawakuwa wanaufanya kwa watu weusi tuu hata kwenye jamii yao kuna makabila/koo za watumwa kizazi na kizazi kwa hiyo hawa watumwa weusi wengi walikuwa wanatumiwa kwenye kilimo au kazi maeneo waliyofikia huku huku Africa au Asia na sio kuwapeleka huko Arabuni
 
Mtu wa kwanza kusafiri duniani,ni mtu mweusi,alitokea Afrika .Kabla hata mzungu,hajasafiri kokote.Na mtu wa kwanza kuumbwa duniani ni mtu mwenye rangi nyeusi,kwa mujibu wa Qur'an,kwamba ulitumika udongo mweusi ndio kuuba binadamu.
Mwamba nakubali kwenye CREATION THEORY zpo mbili...ile ya Darwin tunaita scientific na ile ya biblical yaan kuhusu dini kama ilivoandkwa .,.lkn twende taratibu MWAFRIKA wa kwaza kwenda yeye mwenyew ULAYA hata kabla ya kina VASCO DA GAMA NA BARTHOLOMEW DIAZ hawajaja huku ni nan?? Je unaweza kunipa maandko yako yapo kitabu gan tuone huyo mweus aliaza safar karne gan alitoka pande ipi alitumia usafiri gan na alikaa ulaya au asia had kumix race kwa karne ngap
 
Mwamba nakubali kwenye CREATION THEORY zpo mbili...ile ya Darwin tunaita scientific na ile ya biblical yaan kuhusu dini kama ilivoandkwa .,.lkn twende taratibu MWAFRIKA wa kwaza kwenda yeye mwenyew ULAYA hata kabla ya kina VASCO DA GAMA NA BARTHOLOMEW DIAZ hawajaja huku ni nan?? Je unaweza kunipa maandko yako yapo kitabu gan tuone huyo mweus aliaza safar karne gan alitoka pande ipi alitumia usafiri gan na alikaa ulaya au asia had kumix race kwa karne ngap
Mtu mweusi alizunguka dunia,hakutumia usafiri wowote,kwasababu alikuwa mrefu,mwenye afya,kwa kifupi katika Qur'an na hata Biblia,wametajwa hio mijitu mikubwa,ilikuwa ikivuka Bahari maji hayajavuka,unyao.
 
Mtu mweusi alizunguka dunia,hakutumia usafiri wowote,kwasababu alikuwa mrefu,mwenye afya,kwa kifupi katika Qur'an na hata Biblia,wametajwa hio mijitu mikubwa,ilikuwa ikivuka Bahari maji hayajavuka,unyao.
Sawaaa najua kuna stori ya GIANTS je unajua stori ya GOLIATH na Samson jee GOLIATH alikuwaa n mweus???
 
In some countries, people of many races, ethnicities, and nationalities are accepted and welcomed. Others aren't so lucky. Racism is a tough characteristic to measure. Many countries lack centralized tracking systems for racist incidents. Indeed, a surprising number of countries do not maintain track of its citizens' race and ethnicity, making tracing racist acts against them extremely impossible.

f10474df37b74cc8a108b8bb6438fbff

As a result, researchers frequently turn to more grassroots methods like personal surveys—and while racism may not appear to be a particularly sophisticated characteristic, assessing whether or not someone is racist based on a simple questionnaire can be tough. All of this is to say that identifying the world's most racist countries is a challenging task, and the results might vary from study to study.

The World's Most Racist Countries (Washington Post and Business Tech results combined)

1. India.
1f19d11748364192ac008dbc6f7981b2


2. Lebanon.
45324e4213cf442d905350f5cda81a4b


3. Bahrain.
7fe39f08f6724802a04756e71b14fcbc


4. Libya.
7f82732b09b24c08af1e7fb192c39637


5. Egypt.
5307b4b31fb744198a082be151fb4a04


6. Philippines.
e9434858fbdc41ab97cc0d14ded7bd1c


7. Kuwait.
4abf8a468ffd4ca184ce205167806e84


8. Palestine.
f9968ff96c6140779f533e7be5c5ab7c


9. South Africa.
9e6c759225f44f83bc326cfdf4ab94bd


According to the conclusions of the survey, India is the most racist of the countries examined. India, located in southern Asia, is the world's second most populous country, with 1.3 billion inhabitants. Residents of the country, according to polls, exhibit a high level of intolerance for persons with darker skin, whether they are of foreign ancestry (particularly Africans) or simply darker-skinned Indians. India has a low immigration rate and a small international population. As a result, the bulk of the people that live there are of Indian descent.

NOTE : In recent years, two separate and independent racism studies tested a total of 85,000 people from 61 nations, yielding results that differed from the BCR2020 but were comparable.

The first was a Washington Post poll done in 2013. The Key and basic question asked of each participant was if they would be comfortable living with someone of a different race. The second was a business experiment conducted in 2016. In a tech poll, respondents were asked if they had ever seen or experienced racism.

Source: Most Racist Countries 2021
Kuhusu waarabu ubaguzi wanao ila waarabu ni watu ambao ni wepesi kujichanganya na asili nyingine.
Pigia mfano hapa Tanzania.
Waarabu tuko nao mitaa ya uswazi tunafanya nao mambo mengi na tunashirikiana nao sana tu.
Kuna nchi za kiarabu hazina asili ya weupe completely kama Yemeni.Huko kuna ukabila ila ubaguzi wa rangi hakuna.
Misri nakataa HAWANA UBAGUZI KIASI HICHO MAANA HAO WATU WAMECHANGANYIKA SANA NA WEUSI.
HAO WATU NIMESOMA NAO NA NIMEKAA NAO WAMISRI SIYO WABAGUZI KIASI HICHO.
Ila wahindi wanastahili kuwa number moja maana hata hapa Tanzania wahindi wanajitenga sana na wanajibagua waziwazi na wengine.Ukifuatilia ht Tz wamejitenga mitaa ya kivyao wahindi ni wabaguzi wanabaguana mpk wenyewe kwa wenyewe.
Ila hii list kama Italy,USA,China na Korea hazipo hii list haifai.
Maana hayo mataifa yana ubaguzi kiasi cha kuita watu weusi kinyaa.
 
Watumwa walikuwako wazungu weupe wa mashariki,ndio wa mwanzo,kupelekwa nchi za arabuni.Wakati huo tayari mtu mweusi(muarabu),alikuwa ameshatoka Afrika,kwenda huko,mashariki ya kati.Inasemekana hata jina la bara la Afrika,jina la mfalme wa mwanzo,aliyehamia mashariki ya Kati,akiwa ni mweusi,na ndio kizazi kikaitwa Arab(mchanganyiko A kwa maana ya Afrika na rab,chotara wa kizungu.)
Hawa waarabu wa asili,wapo baadhi ya sehemu,na kuna kisiwa kipo,Yemen,wapo wengi tu,ni mji wao.Hata ukifika nchi za kiarabu,waarabu Rangi sio weupe kama wazungu(wao ni machotara wa weusi na weupe).Mzungu anamuhesabu muarabu ni mtu mweusi,sio mtu mweupe(white)

Hapa maelezo yako ya mwisho nakubaliana nayo, maana nimeish na Wamorocco hiwa wanawaita wazungu "white people", nilijifunza hili kutoka kwao kuwa they dont terme themselves kama whites.
 
Mwarabu ni mtu mweusi sio mweupe,hao unaowaona weupe,ni mchanganyiko wa watumwa weupe,wazungu kutoka Ulaya ya mashariki,waarabu(wa asili weusi),kuoana na watumwa wa kizungu kutoka Ulaya ya mashariki.
Siyo kwamba kuna waarab weupe na waarabu weusi kama vile Wasudan?
 
Back
Top Bottom