9 Most racist Countries in the World

9 Most racist Countries in the World

Sio kweli, hata msikiti mkuu wa Makka moja wa maimamu yupo mweusi tii.
... hilo mimi sijui maana hata ukidanganya tutajuaje? La muhimu, unakubaliana au hukubaliani na matokeo ya utafiti huu?
 
... hilo mimi sijui maana hata ukidanganya tutajuaje? La muhimu, unakubaliana au hukubaliani na matokeo ya utafiti huu?
Sio kweli, binafsi katika nchi nilizotembea ni kwamba UARABUNI wanaobaguliwa ni WAHINDI, yaan Wahindi ndio wanatumikishwa sana kule uarabuni kuliko watu kutoka afrika.
Nimefika Spain huko kunatisha kwa ubaguzi, Pia baadhi ya majimbo ya Germany. Italia ni bora uishe ROME au MILANO utafurahi kidogo. Hizi nchi hapa chini usiombe uende huko utajisikia vibaya sana.
1. ICELAND
2. SPAIN
3. UKRAINE
4. LEBANON
5. ARGENTINA
6. RUSSIA
7. CHINA
8. KOREA

Nchi ambayo nilifika nikashangaa kwa ustaarabu kidogo hasa wakijua ww ni (MUSLIM) ni BOSNIA and HERZEGOVINA mji mkuu wao unaitwa SARAJEVO ni pale ambapo WW1 ilianzia. Ni nchi ya kiasi cha watu wapatao 3+M na mostly ni muslims (about 95%).
Ubaguzi upo, na hautoishi duniani, utashangaa hata France ubaguzi upo.
 
Hata wazungu msemo wao ni kama huo usemao; Ni bora padri mzungu awe mzinzi kuliko padre awe mtu mweusi asiye mzinzi.

Kwa hiyo wale mapadre kina lughambwa, mtega walikuwa wakipoteza muda waoo??
 
... lakini hao wazungu hawamo kwenye hiyo list ya racists! Kuna swali limeulizwa mara nyingi ila halijawahi pata majibu ya kueleweka; kwamba slave lords walikuwa arabs ila "people of color" hawapo uarabuni; why?
Waliobahatika kwenda uarabuni kama watumwa walihasiwa. Pia kulikuwa sheria kali sana kwa mwanamke wa kiarabu kumsogelea mtu mweusi na huenda kama ilitokea kwa bahati mbaya akazaliwa mtoto mweusi baina mwarabu na mweusi basi yule mtoto aliuliwa.
 
Sio kweli, binafsi katika nchi nilizotembea ni kwamba UARABUNI wanaobaguliwa ni WAHINDI, yaan Wahindi ndio wanatumikishwa sana kule uarabuni kuliko watu kutoka afrika.
Nimefika Spain huko kunatisha kwa ubaguzi, Pia baadhi ya majimbo ya Germany. Italia ni bora uishe ROME au MILANO utafurahi kidogo. Hizi nchi hapa chini usiombe uende huko utajisikia vibaya sana.
1. ICELAND
2. SPAIN
3. UKRAINE
4. LEBANON
5. ARGENTINA
6. RUSSIA
7. CHINA
8. KOREA

Nchi ambayo nilifika nikashangaa kwa ustaarabu kidogo hasa wakijua ww ni (MUSLIM) ni BOSNIA and HERZEGOVINA mji mkuu wao unaitwa SARAJEVO ni pale ambapo WW1 ilianzia. Ni nchi ya kiasi cha watu wapatao 3+M na mostly ni muslims (about 95%).
Ubaguzi upo, na hautoishi duniani, utashangaa hata France ubaguzi upo.
Nakubaliana na wewe; ubaguzi popote duniani upo hata ndani ya familia yako upo sema unatofatiana kiwango. Hiyo list iliyowekwa humu ya nchi ZINAZOONGOZA kwa ubaguzi haimaanishi nchi nyingine hazina ubaguzi including hizo ulizotaja; hata Tz ubaguzi upo.

Swali langu liko pale pale; unakubaliana na matokeo ya utafiti kwamba nchi zinazoongoza kwa ubaguzi ni India, Lebanon, Bahrain, Libya, Egypt, Philippines, Kuwait, Palestine, and South Africa in that (descending) order?

Usituletee nchi zako kutaka kuhalalisha mbona hata kule ubaguzi upo wakati inafahamika kila mahali upo ila unatofatiana kiwango tu. Hoja hapa ni "extent" ya ubaguzi.
 
Wengine wanakataa mazishi kuongozwa na padiri mweusi in Norway.
... kumkataa padre mweusi kuendesha mazishi Norway haiodoi ukweli wa utafiti (scientific research) kwamba India, Lebanon, Bahrain, Libya, Egypt, Philippines, Kuwait, Palestine, and South Africa ndizo zinazoongoza kwa ubaguzi wa rangi dunani kwa sasa. Kunaweza kuwa na mabadiliko mbeleni huko kizazi kijacho ila kwa sasa hao ndio vinara!
 
Sio kweli, binafsi katika nchi nilizotembea ni kwamba UARABUNI wanaobaguliwa ni WAHINDI, yaan Wahindi ndio wanatumikishwa sana kule uarabuni kuliko watu kutoka afrika.
Nimefika Spain huko kunatisha kwa ubaguzi, Pia baadhi ya majimbo ya Germany. Italia ni bora uishe ROME au MILANO utafurahi kidogo. Hizi nchi hapa chini usiombe uende huko utajisikia vibaya sana.
1. ICELAND
2. SPAIN
3. UKRAINE
4. LEBANON
5. ARGENTINA
6. RUSSIA
7. CHINA
8. KOREA

Nchi ambayo nilifika nikashangaa kwa ustaarabu kidogo hasa wakijua ww ni (MUSLIM) ni BOSNIA and HERZEGOVINA mji mkuu wao unaitwa SARAJEVO ni pale ambapo WW1 ilianzia. Ni nchi ya kiasi cha watu wapatao 3+M na mostly ni muslims (about 95%).
Ubaguzi upo, na hautoishi duniani, utashangaa hata France ubaguzi upo.
Mbona hapo Russia ,waswahili wakienda kusoma ,naskia wanajipigia mabinti wanazaa na watoto hapo,
Yaani Kwa maana nyingine naskia Russia ni rahisi sana kupata Manzi local
 
Hakuna nchi ya argentina wala urusi, italia na ukraine?
Hata na mimi nashangaa mbona wameweka nchi za Asia na North Africa tu hakuna America wala Eastern Europe?

Egypt haipaswi kuwa kwenye list kwa kweli wale wamechanganyika sana hata hao waarabu weupe ni wachache kuliko hao mchanganyiko.
 
Most of those countries have something in common.
Dini zimewakaa. Kwa wahindi ni Uhindu "Hinduism", na kwa waarabu Uislamu "Islamism".

Wengine ni Wayahudi na dini yao ya Judaism, ambao wameteka mshirika.ya habari wasiandikwe vibaya.

Ingependeza kuangalia dini na ubaguzi wa rangi.
 
... lakini hao wazungu hawamo kwenye hiyo list ya racists! Kuna swali limeulizwa mara nyingi ila halijawahi pata majibu ya kueleweka; kwamba slave lords walikuwa arabs ila "people of color" hawapo uarabuni; why?
Huenda waliwauzia wazungu tu ila hawakuwapeleka kwao.
 
Waliobahatika kwenda uarabuni kama watumwa walihasiwa. Pia kulikuwa sheria kali sana kwa mwanamke wa kiarabu kumsogelea mtu mweusi na huenda kama ilitokea kwa bahati mbaya akazaliwa mtoto mweusi baina mwarabu na mweusi basi yule mtoto aliuliwa.
Mwarabu ni mtu mweusi sio mweupe,hao unaowaona weupe,ni mchanganyiko wa watumwa weupe,wazungu kutoka Ulaya ya mashariki,waarabu(wa asili weusi),kuoana na watumwa wa kizungu kutoka Ulaya ya mashariki.
 
Waarabu wana msemo wao..unasema ni bora shehe awe mlevi kuliko shehe kuwa mweusi..
Mwarabu ni mtu mweusi,ni baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,kutoka mashariki ya ulaya, ndio kukapatikana weupe(machotara wa kizungu na kiarabu(weusi).Kwa hiyo kuna ubaguzi,ni machotara(wa kizungu na kiarabu),kuwabaguwa weusi wenzao,kwa huko kuchanganya weupe wa kizungu
 
Back
Top Bottom