80% ya Watanzania waliokataa mfumo wa vyama vingi walikuwa sahihi, kizazi cha Upinzani wa kweli bado hakijazaliwa

Ikumbukwe kuwa ni takribani 20% ya wananchi ndio walisema wanapendelea mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini na 80% waliukataa kwa madai kuwa kwa wakati ule taifa halikuhitaji na wala halina wapinzani wa "kweli".

Baba wa taifa akasema wachache wapewe na wengi wasikilizwe, ndipo ukaanzishwa huu Upinzani wa ruzuku.

Yaani wapinzani wanapiga hesabu za kujinufaisha wao na "matumbo tumbo" yao ndio maana hata sasa wamekuwa watu wa kuhamahama kufuata fursa.

Mchungaji Mtikila aliwahi kuhamia CHADEMA ili tu awe Mbunge wa Ludewa lakini wananchi wakamkataa akarudi kwenye DP yake.

Babu Duni Haji alihamia CHADEMA ili tu aweze kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania.

Mifano ni mingi na hao ndio aina ya wapinzani tulionao ambao sasa wanaiomba CCM iwaletee Tume huru ya uchaguzi.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Hii post imeandikwa na robot la Lumumba, wala siyo ya kuijadili. Marobot yametengenezwa kufanya kitu kimoja na wala hayaruhusiwi kufikiri. Mfano ni kama zile robot za kufungua milango ya majumba ya kisasa au Mahotelini. Yamesetiwa yaki sense image mlango unafunguka. Kwa hiyo hata kama mtu anapita mbali haingii ndani yanafunguka tu. Yenyewe kutwa nzima nikufungua mlango hata yaki sense mjusi anapita yanafunguka tu. Hili linalojiita johnthebaptist nalo ni robot
 
Km China wameweza na chama kimoja Kwanini sisi tusiwaige?
Kama kweli muna waiga China na nimarafiki zenu kwa kilaa kitu kwanini mushindwe kuwasaidia mchango wa japo elfu 10 wakakabiliana na janga la corona au urafiki wenu niwakuwavisha sare za chama na kofia za chama tuu wacheni unafiki munashindwa na Comoro ambao hawajuani ndewe wala sikio wamechangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikumbukwe kuwa ni takribani 20% ya wananchi ndio walisema wanapendelea mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini na 80% waliukataa kwa madai kuwa kwa wakati ule taifa halikuhitaji na wala halina wapinzani wa "kweli".

Baba wa taifa akasema wachache wapewe na wengi wasikilizwe, ndipo ukaanzishwa huu Upinzani wa ruzuku.

Yaani wapinzani wanapiga hesabu za kujinufaisha wao na "matumbo tumbo" yao ndio maana hata sasa wamekuwa watu wa kuhamahama kufuata fursa.

Mchungaji Mtikila aliwahi kuhamia CHADEMA ili tu awe Mbunge wa Ludewa lakini wananchi wakamkataa akarudi kwenye DP yake.

Babu Duni Haji alihamia CHADEMA ili tu aweze kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania.

Mifano ni mingi na hao ndio aina ya wapinzani tulionao ambao sasa wanaiomba CCM iwaletee Tume huru ya uchaguzi.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Kizazi cha sasa sicho cha sawa na cha enzi za mwalimu hichi kina global vision kile cha mwalimu akili zao zilifungiwa kwenye box hakikuwaza nje ya fikra za mwenyekiti. Vyama vingi vilikuwepo hata kabla ya Uhuru ni Nyerere ndie alivipiga marufuku ili kuusika ujamaa nchini ( yaani mfumo wa kuwafanya watu wawe masikini ili uwatawale) na wote waliopinga mawazo yake aliwasomesha namba yaani kulimia meno aliwafunga kina maalimu seif,bibi Titi,James Mapalala,wengine walikimbia nchi mfano Kambona ndie Lissu kwa mfano wa sasa,wengine waliwekwa vizuizini yaani uruhusiwi kwenda nje ya kijiji chako bila amri ya DC au polisi mfano kina Tuntemeke Sanga, Abood Jumbe,Kassanga Tumbo,nk.
Alikuja kuhurusu ni baada ya shinikizo toka jumuia za kimataifa ili asikose misaada wakati huo uchumi ukiwa unaelekea shimoni hadi ulipookolewa na Mzee Ruksa,pia aliona kizazi kilichopo kimeanza kuwa na global vision hasa wasomi wa UD walipoanza kupinga sera zake hivo kulinda heshima yake na ya kizazi chake alioona mbali akaamua akae pembeni na apishe damu changa nae abaki kama mshauri.Laiti angekuwepo Leo angechagua mfumo wa demokrasia baada ya kuuishi mfumo wa chama kimoja na alikiri madhaifu ya mfumo wa chama kimoja.Msome kwenye kitabu chake cha Tujisahihishe ingawa ilipaswa title isomeke "Nijisahihishe" na sio Tuji sababu hakutaka kushaurika vyote alivoandika na hata speech zake nyingi zilikuwa ni kama anauponda mfumo wa utawala wake.
 
Ikumbukwe kuwa ni takribani 20% ya wananchi ndio walisema wanapendelea mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini na 80% waliukataa kwa madai kuwa kwa wakati ule taifa halikuhitaji na wala halina wapinzani wa "kweli".

Baba wa taifa akasema wachache wapewe na wengi wasikilizwe, ndipo ukaanzishwa huu Upinzani wa ruzuku.

Yaani wapinzani wanapiga hesabu za kujinufaisha wao na "matumbo tumbo" yao ndio maana hata sasa wamekuwa watu wa kuhamahama kufuata fursa.

Mchungaji Mtikila aliwahi kuhamia CHADEMA ili tu awe Mbunge wa Ludewa lakini wananchi wakamkataa akarudi kwenye DP yake.

Babu Duni Haji alihamia CHADEMA ili tu aweze kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania.

Mifano ni mingi na hao ndio aina ya wapinzani tulionao ambao sasa wanaiomba CCM iwaletee Tume huru ya uchaguzi.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Hao 20% ndio waliokusaidia angalau unaweza kuandika haya leo. Bila wao ungekuwa uko kijijini kwenu unakaa magome ya miti. Inabidi uwaheshimu sana. Hakuna kitu kizuri ukijitambua.
 
mapendekezo ya hiyo tume hukuyasoma yote, Mzee msekwa alikiri hadharani kuwa watanzania wengi kwa kipindi hicho 90's they new nothing about multiparty system kwa kifupi walikuwa mbumbumbu Sasa inatia hasira miaka hii bado Kuna mbumbumbu Kama wewe huoni umuhimu wa vyama vingi yani akili yako ni dumavu Kama wale wa miaka ya 90 waliokuwa wanaimba zidumu fikra za mwalimu
 
Sasa kama ni 20% kwa nini mnahangaika na wapinzani,alafu wewe jamaaa watu wa Kusini, ni wewe tu umekuwa mtu wa kusifu sifu mambo ya hovyo hovyo.
Mzee Kolimba hakuwa hivyo.
 
Ikumbukwe kuwa ni takribani 20% ya wananchi ndio walisema wanapendelea mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini na 80% waliukataa kwa madai kuwa kwa wakati ule taifa halikuhitaji na wala halina wapinzani wa "kweli".

Baba wa taifa akasema wachache wapewe na wengi wasikilizwe, ndipo ukaanzishwa huu Upinzani wa ruzuku.

Yaani wapinzani wanapiga hesabu za kujinufaisha wao na "matumbo tumbo" yao ndio maana hata sasa wamekuwa watu wa kuhamahama kufuata fursa.

Mchungaji Mtikila aliwahi kuhamia CHADEMA ili tu awe Mbunge wa Ludewa lakini wananchi wakamkataa akarudi kwenye DP yake.

Babu Duni Haji alihamia CHADEMA ili tu aweze kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania.

Mifano ni mingi na hao ndio aina ya wapinzani tulionao ambao sasa wanaiomba CCM iwaletee Tume huru ya uchaguzi.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Swala si kizazi bali siasa chafu zinazofanywa na ccm ili kuwanufaisha watu wachache.
 
Unadhani mfumo wa vyama vingi lilikuwa wazo la watanzania? Ilikuwa hakuna namna lazima tuingie kwenye huo mfumo coz mfumo wa utumwa ulishabadilika so ili tuendane na utumwa mpya ilikuwa ni lazima tuletewe mfumo mwengine ukiwemo wa vyama vingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Km China wameweza na chama kimoja Kwanini sisi tusiwaige?
wengine walioweza kwa kuwa na chama kimoja ni akina nani na wanatembeza bakuli kama ccm kwa kiasi gani,any way shida ni ninyi kukabidhi akili kwa watu wachache,I believe mtu kama wewe huna kaburi unalotaka Lilindwe na ccm bali unatumika na watu wachache wewe makaburi yao
 
Unadhani mfumo wa vyama vingi lilikuwa wazo la watanzania? Ilikuwa hakuna namna lazima tuingie kwenye huo mfumo coz mfumo wa utumwa ulishabadilika so ili tuendane na utumwa mpya ilikuwa ni lazima tuletewe mfumo mwengine ukiwemo wa vyama vingi

Sent using Jamii Forums mobile app
watu wenye akili wanacompare na kucontrast the situation before na after then wanamake informed decision.wajinga wao wanaangalia chama chao tu hata kama the situation before was worse.hopeless kabisa
 
Hujui usemalo
Ikumbukwe kuwa ni takribani 20% ya wananchi ndio walisema wanapendelea mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchini na 80% waliukataa kwa madai kuwa kwa wakati ule taifa halikuhitaji na wala halina wapinzani wa "kweli".

Baba wa taifa akasema wachache wapewe na wengi wasikilizwe, ndipo ukaanzishwa huu Upinzani wa ruzuku.

Yaani wapinzani wanapiga hesabu za kujinufaisha wao na "matumbo tumbo" yao ndio maana hata sasa wamekuwa watu wa kuhamahama kufuata fursa.

Mchungaji Mtikila aliwahi kuhamia CHADEMA ili tu awe Mbunge wa Ludewa lakini wananchi wakamkataa akarudi kwenye DP yake.

Babu Duni Haji alihamia CHADEMA ili tu aweze kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania.

Mifano ni mingi na hao ndio aina ya wapinzani tulionao ambao sasa wanaiomba CCM iwaletee Tume huru ya uchaguzi.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaio kama ni vijana wamefanyeje mana sielew unamaanisha nn mm mwenyewe ni kijana wa miaka 27 Lakin upuuz unao waza ni wa wewe mwenyewe na machizi wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuelewa ikiwa hata kuandika lugha yako mama ni tatizo. Unaandika Kwaio badala ya Kwa hiyo. Siwezi kujengeana hoja na form 4 failure. Ni wazi una uwezo mdogo wa kuelewa na kuchambua mambo.
 
Huwezi kuelewa ikiwa hata kuandika lugha yako mama ni tatizo. Unaandika Kwaio badala ya Kwa hiyo. Siwezi kujengeana hoja na form 4 failure. Ni wazi una uwezo mdogo wa kuelewa na kuchambua mambo.
Yes nilifel form 4 ila nilifaulu mtihani wa mtaani Nina maisha Mazur Sana boy wewe ulie soma mpaka chuo na huna Kaz ela ya kula tu yashida endelea kuitukana serekal kisa tu umesoma na hujaajiriwa pole kwio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes nilifel form 4 ila nilifaulu mtihani wa mtaani Nina maisha Mazur Sana boy wewe ulie soma mpaka chuo na huna Kaz ela ya kula tu yashida endelea kuitukana serekal kisa tu umesoma na hujaajiriwa pole kwio

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna maisha mazuri usitudanganye humu, ungekuwa na maisha mazuri usingekubali kutumika kubwabwaja humu. Kuhusu mimi ajira ninayo Mkuu , tena serikali imetumia gharama kunitengeneza. Kama unahitaji kunijua zaidi njoo inbox ntakueleza vizuri, unadhani kila anayekosoa ana njaa. Wengine ni makada sisi lakini sio wa kusifia kila kitu, maslahi ya Taifa kwanza
 
Huna maisha mazuri usitudanganye humu, ungekuwa na maisha mazuri usingekubali kutumika kubwabwaja humu. Kuhusu mimi ajira ninayo Mkuu , tena serikali imetumia gharama kunitengeneza. Kama unahitaji kunijua zaidi njoo inbox ntakueleza vizuri, unadhani kila anayekosoa ana njaa. Wengine ni makada sisi lakini sio wa kusifia kila kitu, maslahi ya Taifa kwanza
Kwaio serekal unayo itukana kila siku ndio ilio kufanya wewe Leo una maisha Tena umesema imekutengeneza kwa garama kwel naongea na chiz na mnafki asie fadhilika sitokujibu Tena mana kama serekal imekusimamia mpaka apo ulipo maisha yako yanaenda fresh alafu unakaa unaongea ujinga ila nikushukuru kwakua tayar umewaonesha wenzako ambao kila siku unawadanganya kua serekal ni mbovu kumbe io serekal ndio ilio kupa maisha na Leo unavimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom