Wiwachu
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 809
- 923
Kwa taarifa yako CCM ndo haiko tayar kuwa na vyama vingine vya upinzani ndio maaana wanabaka democracy kila siku mara hakuna kufanya mikutano ya siasa uchaguzi umeisha wakat wao wanafanya siasa kila siku kweny majukwaa tunawaona kwa kuwa tu wao wana dora na siraha zote za nchii za kila aina mara bunduki na vifaru poa tu..
Kwa iyo mi nashaur kama vp vyama vingi vifutwe vyote na tubaki na ccm pekee ili hizo hera tunaziharibu kuvifadhili hivi vyama kwa kuvipa ruzuku na ambazo tunazitumia kufanya uchaguzi zifanye kazi nyingine na sio hivi viini macho ya ccm
Kwa iyo mi nashaur kama vp vyama vingi vifutwe vyote na tubaki na ccm pekee ili hizo hera tunaziharibu kuvifadhili hivi vyama kwa kuvipa ruzuku na ambazo tunazitumia kufanya uchaguzi zifanye kazi nyingine na sio hivi viini macho ya ccm