Huu Mfumo wa Vyama Vingi ulitengenezwa na CCM kukidhi mahitaji ya wale Wananchi 20%. Ni mfumo uliozuia Rais kutoka Upinzani

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,445
Ikumbukwe ni 20% tu ya wananchi ndio waliutaka mfumo wa vyama vingi huku 80% wakitaka CCM iongoze milele.

Hakuna utafiti wowote umefanyika kuonyesha mafanikio ya mfumo huu ndio maana 2020 wananchi kwa kauli moja waliamua kuichagua CCM kwa 98%

Kimaandishi Tanzania tumo kwenye mfumo wa vyama vingi vya siasa lakini kiuhalisia tunaishi kwenye mfumo wa chama kimoja.

Je, tutaendelea kujidanganya hadi lini kwamba Mbowe, Zitto na Prof Lipumba ni wapinzani huku macho yao tu yanadhihirisha uCCM wao?

Ifike mahali tuuishi uhalisia, tumechelewa sana ndugu zangu!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
 
Ikumbukwe ni 20% tu ya wananchi ndio waliutaka mfumo wa vyama vingi huku 80% wakitaka CCM iongoze milele.

Hakuna utafiti wowote umefanyika kuonyesha mafanikio ya mfumo huu ndio maana 2020 wananchi kwa kauli moja waliamua kuichagua CCM kwa 98%

Kimaandishi Tanzania tumo kwenye mfumo wa vyama vingi vya siasa lakini kiuhalisia tunaishi kwenye mfumo wa chama kimoja.

Je, tutaendelea kujidanganya hadi lini kwamba Mbowe, Zitto na Prof Lipumba ni wapinzani huku macho yao tu yanadhihirisha uCCM wao?

Ifike mahali tuuishi uhalisia, tumechelewa sana ndugu zangu!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Hiyo ya kwamba 20% tu ndiyo walitaka mfumo wa vyama vingi una ushahidi wa facts au ni kwamba 'maneno' mliyolishwa na akina Nyerere mliyameza jumlajumla bila tafakuri zenu wenyewe, kama kuna hard facts zimwage hapa ili twende sawa.
 
Hiyo ya kwamba 20% tu ndiyo walitaka mfumo wa vyama vingi una ushahidi wa facts au ni kwamba 'maneno' mliyolishwa na akina Nyerere mliyameza jumlajumla bila tafakuri zenu wenyewe, kama kuna hard facts zimwage hapa ili twende sawa.
Alikuwa muongo sn
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Akili za watanzania wa 1980-1990 sio sawa na hizi za sasa.

Kwanza CCM ilikua imehodhi kila kitu , watu habari walizipata RTD kwa kiasi kikubwa ambayo sasa ndio TBCCM kisima cha propaganda.

Hata idadi ya wasomi na teknolojia ya kujipatia maarifa ilikua ndogo sana.

Nani asiyejua CCM bila tume na polisi haishindi?
 
Akili za watanzania wa 1980-1990 sio sawa na hizi za sasa.

Kwanza CCM ilikua imehodhi kila kitu , watu habari walizipata RTD kwa kiasi kikubwa ambayo sasa ndio TBCCM kisima cha propaganda.

Hata idadi ya wasomi na teknolojia ya kujipatia maarifa ilikua ndogo sana.

Nani asiyejua CCM bila tume na polisi haishindi?
View attachment 2176177
Kama CCM bila polisi na tume haishindi maana yake ni kuwa Tume na polisi ni ccm.

Sasa mnatokaje hapo?
 
Kama CCM bila polisi na tume haishindi maana yake ni kuwa Tume na polisi ni ccm.

Sasa mnatokaje hapo?
Kwahiyo na wewe unajivunia huo ujinga?

Kuna haja gani kupoteza pesa za walipa kodi kwa igizo lilioitwa "uchaguzi mkuu"

Na mkaweka katiba ya matokeo ya urais kutohojiwa popote.

Hamkuishia hapo mkasema rais hashtakiwi akiwa au akitoka madarakani

Sasa yule dikteta alikua ni wa The Hague kabisa
 
Ikumbukwe ni 20% tu ya wananchi ndio waliutaka mfumo wa vyama vingi huku 80% wakitaka CCM iongoze milele.

Hakuna utafiti wowote umefanyika kuonyesha mafanikio ya mfumo huu ndio maana 2020 wananchi kwa kauli moja waliamua kuichagua CCM kwa 98%

Kimaandishi Tanzania tumo kwenye mfumo wa vyama vingi vya siasa lakini kiuhalisia tunaishi kwenye mfumo wa chama kimoja.

Je, tutaendelea kujidanganya hadi lini kwamba Mbowe, Zitto na Prof Lipumba ni wapinzani huku macho yao tu yanadhihirisha uCCM wao?

Ifike mahali tuuishi uhalisia, tumechelewa sana ndugu zangu!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Huu ndio uhalisia ambao wapinzani na wasomi wetu hawataki kuuelewa. Matokeo na maoni ya wananchi yalionyesha wazi. Sababu ya wananchi kukataa mfumo wa vyama vingi ni hofu ya vurugu za kisiasa kwa kuangalia mifano ya nchi nyingine hasa majirani zetu. Kwa miaka yote baada ya mfumo kukubaliwa, vyama vya upinzani havijafanya juhudi ya kuondoa hofu hii badala yake vinajinasibu kuwa bila kufanya hivyo na wananchi kuwa support CCM itabakia madarakani milele. Oparesheni za Ngangali, Jino kwa Jino, Sangara, Lazima kieleweke, Wakikataa tunakinukisha, Kugomea michakato n.k. zimendelea kudhihiri hofu waliyokuwanayo wale asilimia 80. Hata pale watawala wanapotoa platform za mazungumzo na maelewano wanagoma/wanatoka wakitaka mambo yaende watakavyo wao, Watawala watake wasitake. Kwa wakulima na wakazi wa vijijini ambako bado wanalima kwa kualikana, wanaombana chumvi na kushitikiana kwa shughuli za kijamii hii ni ngumu kumeza, ndio maana asilimia 20 ya waliotaka mfumo wa vyama vingi haikui kwa kasi sababu ina support ya watu wa mijini tu ambako wengine wanadhani ugumu wa maisha ni sababu ya watawala na sio mfumo wao wa maisha. JK Nyerere alilijua hili ndio maana akasema wapeni wajionee wenyewe. Ni mpaka pale vyama vya upinzani vitakapokuwa na siasa za ushawishi badala ya siasa shinikizi (Harakati) tutaona mabadiliko.
 
Ikumbukwe ni 20% tu ya wananchi ndio waliutaka mfumo wa vyama vingi huku 80% wakitaka CCM iongoze milele...
Upinzani ni hali ya kuwa na maoni tofauti kuhusu jambo fulani.

Tangu ukoloni kuelekea Uhuru kwenda chama kimoja hadi vyama vingi upinzani umekuwepo. Wakumbuke kina Kambona, Fundikira, Mapalala, G55 nk . Nk.

Hiyo asilimia 20 ya 1992 haiwezi kua apply leo. Na kimsingi haikuwa na maana sababu isingeweza kuzuilika na wimbi la mabadiliko lilikuwa kubwa.

Tatizo moja kubwa ni ujinga watu kufikiri kuwa upinzani ni kitu kibaya.

Ccm wanadumu kwa kutumia huu ujinga na kwa kupitia dola wameendelea kutisha watu kuwa upinzani si kitu.
Wanakataa vitu vya msingi kama katiba bora na tume huru ya uchaguzi bila kujua kwamba hivyo vitawafanya waendelee kuwepo.

Hatari iliyopo ni kuwa ikiwa itatokea chama kingine kikashinda kwa katiba hii na tume hii na kikatawala kwa mfumo huo ccm itafutika kama KANU na UNIP vilivyofutika huko Kenya na Zambia.
 
Back
Top Bottom