52 weeks saving Challenge... Hivi watanzania Tuna Shida gani?

52 weeks saving Challenge... Hivi watanzania Tuna Shida gani?

Sasa Kuna baadh ya Wanawake Na Baadhi ya Wanaume Wamesha kuwa brain washed.. Anauza Zake Samaki na Nyanya Gengeni Anapewa Hilo Jedwali.....

Nilichokigundua waTanzania wengi wetu financial literacy ni ndogo sana. Hata huu uwekezaji ni product ya discussion kati yetu na masikini wenzetu.... Mfano hakuna kitu kimerudisha nyuma na kufarakanisha familia kama hii mikopo ya VICOBA na upuuzi mwingine. Kuna mama zetu wameiba/wamefoji mpaka hati za nyumba/magari na mengineyo kwenda kukopea..kisa wajiongezee kipato. By the time wanashtuka it is all HOT AIR.

Again, si kwamba hili jedwali ni baya. Mtu akiwa na KIPATO CHAKE NA discipline anaweza possibly akafanikiwa. Lakini mwisho wa siku wengi haya mambo ni marahisi kwa kuyaongea.
 
Nilichokigundua waTanzania wengi wetu financial literacy ni ndogo sana. Hata huu uwekezaji ni product ya discussion kati yetu na masikini wenzetu.... Mfano hakuna kitu kimerudisha nyuma na kufarakanisha familia kama hii mikopo ya VICOBA na upuuzi mwingine. Kuna mama zetu wameiba/wamefoji mpaka hati za nyumba/magari na mengineyo kwenda kukopea..kisa wajiongezee kipato. By the time wanashtuka it is all HOT AIR.

Again, si kwamba hili jedwali ni baya. Mtu akiwa na KIPATO CHAKE NA discipline anaweza possibly akafanikiwa. Lakini mwisho wa siku wengi haya mambo ni marahisi kwa kuyaongea.
You are right.... Ndo maana nikaweka mada hiu hapa Mezani
 
Naweka m pawa. Ngoja nione Kwa mwaka nitaweka ngapi. Ole wao waniibie
 
You are right.... Ndo maana nikaweka mada hiu hapa Mezani
Lakini kwaufupi amna ubaya hapo kwasabu ni personal zaidi akuna upatu au mtu anayeibiwa kwaiyo mtu ataweka pesa akiona ameshindwa kuendana nalo jedwari anakula matunda aliyohifadhi au anabadilisha mfumo amabo anaendana nao natumaini mtu mpaka ameamu kuwa na nidhamu ya pesa ni yuko timamu so amna tatizo kwasabu amna wizi wala sio network market ni jambo la kila mtu kupambana na hari yake
 
Back
Top Bottom