52 weeks saving Challenge... Hivi watanzania Tuna Shida gani?

52 weeks saving Challenge... Hivi watanzania Tuna Shida gani?

Hawajakuelewa ila wakipitia hii point watakuelewa kuna vitu huwa theoretically inawezekana ila kiutendaji ni ngumu ni bora wangewwka fixed amount lkn hapo wanaonyesha kuwa kipato chako kinakua kila mwezi au una kipato kikubwa sana unajifunza kuweka akiba
Yaah Ndo Nilikuwa namaanisha Sema Wengi wanakurupuka Kucomment bila Kufikiria mbele
 
Usifananishe vicoba na hiyo. Kwanza ni hela yako unasave kwanini uone haiwezekani?
Tatizo la Watanzania Tunakuwa Hatuelewi mapema... Nimeshaeleza Huko juu Jinsi Gani Inakuwa Ngumu ila Bado Unauliza Kwann Nione haiwezekani..

Soma Replies zangu
 
Ngoja na mm nije na Fact zangu
Njoo nazo mkuu... Watu Wanaona It is Simple maana Kwa Week za Mwanzo unaanza Ku save Hela Ndogo sana... Ila Unapokaribia Week za Mbele mfano week ya 20 ndipo watakapokuja kuelewa Huu Uzi
 
Unaweza pia ukaweka kiasi kisichobadilika kilicho ndani ya uwezo wako.
Hii Inawezekana ila Siyo Hiyo Ya Kwenye Jedwali... Na hiyo Unayosema Ndo Watu wanafanya Ukipata Laki leo unaweka Kesho ukipata elfu hamsini Unaweka.. ila Jedwali halitaki Hivyo linataka uwe unaweka Zaidi kila Week
 
Kwani tatizo nini mbona kila jambo nyie watu wa jf mmekuwa la kulisakama tu ata jambo binafsi la mtu dhumuni la chati hizo ni kuku direct kuwa na nidhamu ya pesa tu ila sio kwamba lazima uzifuate arafu kingine mtoa unataka kulazimisha kila mtu awe na hali kama yako ya maisha wewe ukiwa na hali ngumu ukishindwa kuendana na iyo chart hii aina maana kila mtu ataishindwa

mimi kipato changu kwa siku ni 8500/= lakini nina save 7200/= kwa siku hii inamaana kwa siku natumia 1300/= najua uwezi kuwamini na nikikwambia njia nayotumia uwezi kuifanya wewe lakini hii inaonyesha nidhamu tu ya fedha

Ontario anasema kila mtu apambane kwa njia yake tutakuja kuonana juu tukipiga cheese
 
Umekuwa bias kuizungumzia ya f10 wakati zipo chat cha hadi 1000 kwa wiki ila wewe ulitaka uzungumzie kilicho kushinda. Mimi ninacho cha f5 na nimeamua kujiwekea kila ninapopata hata mara mbili hadi tatu kwa wiki kadri nipatavyo. Mpaka sasa niko wiki ya 10
Hii ndio inaeleza Kwanini Watanzania wengi tunakuwa na Uelewa mdogo.. What makes the Difference Nikiongelea elf 10 na elf 1. Concept na Maana Ni ile ile kwamba Hata U save 1000 utatakiwa Kuongeza Elfu 1 kila Week zaidi maan Yake utakapofika week za Mbele itakuwa Ngumu kama Una kipato cha Buku kwa Week
 
Jamani mkumbuke hata kama mnafanya hizo savings, maisha mengine hayasimami. Yanaendelea! (kulipa karo za watoto, kulipa kodi ya nyumba-kwa wale ambao hawana nyumba zao, kutunza familia na majukumu mengineyo....... Ni angalizo tuu!

Kwa kipato cha Tanzania yetu hii...wanaoweza hii kitu wapo Lakini ni wa kuhesabu sana.
 
Jamani mkumbuke hata kama mnafanya hizo savings, maisha mengine hayasimami. Yanaendelea! (kulipa karo za watoto, kulipa kodi ya nyumba-kwa wale ambao hawana nyumba zao, kutunza familia na majukumu mengineyo....... Ni angalizo tuu!

Kwa kipato cha Tanzania yetu hii...wanaoweza hii kitu wapo Lakini ni wa kuhesabu sana.
Na ndio maana unaambiwa u save pesa
 
Kuna wengine hii challenge wanaimaliza ndani ya wiki. Nasikia wale TMT wanamfumo wa kudownload pesa. Tatizo humu JF tulimsema Ontario mpaka kasusa kutupa maujuzi🙄
 
Katika maisha kila mtu ana-malengo yake

Kuna wengine wana-Target yakupata milion 2 kwa mwaka

Kuna wengine wana-Target yakupata milion 10 kwa mwaka

Kuna wengine wana-Target yakupata milion 25 kwa mwaka


Ina-dipend na kipato chako chamsingi nikujituma nakufanya kaz kwa bidii kuwa na nidhamu ya pesa thamini kila Cent unayoitapa hakuna kinacho shindikana.

Unapo weka akiba ndio unajiongezea Point za kufikia malengo yako

""maisha mazuri yanatokana na mipango mizuri""

siku zote unapojiekea malengo bila kueka akiba ni sawa na kuuikimbiza upepo.

thamini kidogo unacho kipata ndicho kinacho tengeneza kikubwa.
 
Jamani mkumbuke hata kama mnafanya hizo savings, maisha mengine hayasimami. Yanaendelea! (kulipa karo za watoto, kulipa kodi ya nyumba-kwa wale ambao hawana nyumba zao, kutunza familia na majukumu mengineyo....... Ni angalizo tuu!

Kwa kipato cha Tanzania yetu hii...wanaoweza hii kitu wapo Lakini ni wa kuhesabu sana.
Sasa Kuna baadh ya Wanawake Na Baadhi ya Wanaume Wamesha kuwa brain washed.. Anauza Zake Samaki na Nyanya Gengeni Anapewa Hilo Jedwali.....
 
Njoo nazo mkuu... Watu Wanaona It is Simple maana Kwa Week za Mwanzo unaanza Ku save Hela Ndogo sana... Ila Unapokaribia Week za Mbele mfano week ya 20 ndipo watakapokuja kuelewa Huu Uzi
Icho kitu hakiwezekani hata kidogo.
 
Kwani tatizo nini mbona kila jambo nyie watu wa jf mmekuwa la kulisakama tu ata jambo binafsi la mtu dhumuni la chati hizo ni kuku direct kuwa na nidhamu ya pesa tu ila sio kwamba lazima uzifuate arafu kingine mtoa unataka kulazimisha kila mtu awe na hali kama yako ya maisha wewe ukiwa na hali ngumu ukishindwa kuendana na iyo chart hii aina maana kila mtu ataishindwa

Kama Umenielwa sijakataza Mtu Yeyote kuifuata.. aifuate tu ila Kama Unakipato Kidogo Utakuja Kukumbuka Uzi huu baadae na Kuelewa Lyrics zake


mimi kipato changu kwa siku ni 8500/= lakini nina save 7200/= kwa siku hii inamaana kwa siku natumia 1300/= najua uwezi kuwamini na nikikwambia njia nayotumia uwezi kuifanya wewe lakini hii inaonyesha nidhamu tu ya fedha

Ontario anasema kila mtu apambane kwa njia yake tutakuja kuonana juu tukipiga cheese

Uzi wangu Umejikita Katika Jedwali hilo hapo Juu ambalo Linasambaa sana mitaani Sasa Hivi... Kwahiyo ukisema Wewe una Njia Zako za Saving hatutoelewana Kamwe katika Mada Hii...

Kwahiyo kama Una Hiyo 8500 kwa siku basi Fuata Hilo Jedwali hapo juu Then Niambie Kuanzia week ya 20 utaweza Kuwa Unasave kulingana na Jedwali hilo kama Una Kipato cha 8500 kwa Siku?.... Jedwali litataka uweke 170,000 wakati wewe hiyo week ya 20 utakuwa na 59,500 mfukoni kwa kipato chako cha 8500

Unasema Unatumia sh 1300 kwa Siku sikupingi wala maana Hata Takwimu zinaonyesha Kuna Watu wanaishi chini ya Dollar moja Inawezekana wewe ni mmoja wao...
 
Kama Umenielwa sijakataza Mtu Yeyote kuifuata.. aifuate tu ila Kama Unakipato Kidogo Utakuja Kukumbuka Uzi huu baadae na Kuelewa Lyrics zake




Uzi wangu Umejikita Katika Jedwali hilo hapo Juu ambalo Linasambaa sana mitaani Sasa Hivi... Kwahiyo ukisema Wewe una Njia Zako za Saving hatutoelewana Kamwe katika Mada Hii...

Kwahiyo kama Una Hiyo 8500 kwa siku basi Fuata Hilo Jedwali hapo juu Then Niambie Kuanzia week ya 20 utaweza Kuwa Unasave kulingana na Jedwali hilo kama Una Kipato cha 8500 kwa Siku?....

Unasema Unatumia sh 1300 kwa Siku sikupingi wala maana Hata Takwimu zinaonyesha Kuna Watu wanaishi chini ya Dollar moja Inawezekana wewe ni mmoja wao...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duu ushaniweka kwenye kundi la wanaoishi chini ya Dora moja kwa siku aya chamsingi tufikie marengo
 
25cd5f2fa2e99993c9ce30cc2f887305.jpg
try this one!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duu ushaniweka kwenye kundi la wanaoishi chini ya Dora moja kwa siku aya chamsingi tufikie marengo
Hahahhaha Sijakuweka Ila Wewe mwenyewe umeniambia unatumia 1300 kwa siku[emoji3] [emoji3] [emoji3] .. leo hii tarehe 3 dollar moja ni sawa Tsh 2250.90 according to Google

Sasa huoni upo chini ya Dola moja
 
Back
Top Bottom