Exactly, that's how it isMtoa mada..kajithathimini...
Soma na uelewe malengo.
Lengo la kwanza hapo....ni nidham ya kuweka akiba.
Lengo la pili...haijalishi unakipato kiasi gan bado unaweza kuweka akiba.
Hata kama income yako ni 1000 kwa siku bado unaweza kuweka akiba ya tsh 20 kwa siku. Tofauti ni kwamba mwenye kipato kikubwa anaweza kuweka akiba kubwa (Note: si kila mwenye kipato kikubwa ana uwezo wa kuweka akiba ...akiba ni nidhamu) na mwenye kipato kidogo anaweka akiba ndogo.
That is it!
Unaposema anapigwa ....sijaelewa anapigwaje....wakati hela ni zako na umefundishwa wewe mwenyewe jinsi ya kuweka. Hakuna kuuza wala kununua chochote hapo. Wala hakuna kamisheni ya kumuintroduce mtu kwenye hii idea.
It is simpy a challenge to our spending behaviour!
Huo ni mfano tu...unaweza kutengeneza chati ya namna unavyotaka wewe na kiasi unachotaka wewe..lengo la hiyo chati ni kuhamashisha mtu kusaveSawa Tatizo la Hiyo Chat inakuhitaji Uweke Kiasi Cha Nyongeza kila Week...
Yaani Tuseme leo tarehe 3 uweke 250000 baada ya Siku saba yaani tarehe 10 uweke 260000 baada ya siku saba tena yaani tarehe 17 uweke 270000 mana Yake Kuanzia Leo tarehe 3 mpaka tarehe 17 mwezi Huu uwe umeweka Tsh 780,000 . Je kwa Kawaida Mwenye Mshahara Duni Ataweza