Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,595
- 13,979
Super power wamchongo analilia kuomba asaidiwe alidhani Iran ni VenezuelaAnother Mohammed Al Sahaf at his best.
View: https://youtu.be/e0Fg5D3U-RQ?si=cawCIr_3tux2QCYp
Super power wamchongo analilia kuomba asaidiwe alidhani Iran ni VenezuelaAnother Mohammed Al Sahaf at his best.
Uchumi sio shida maana Wataondolewa vikwazo kama SyriaKwa spidi hii mpaka huu mwezi unaisha Iran itakuwa choka mbaya na uchumi utakuwa nyang'anyang'a kiasi kwamba itabidi tu watupiwe taulo.
Kwa sasa hivi Iran haiwezi kuuza mafuta wala gesi kwa sababu meli hazina bima ya kupakia mafuta wala gesi ya Iran. Iko kazi.
Hizo habari ya X ya elon musk, Kwa taarifa Sahihi muajemi anaweza kutembea na hio kombination miaka zaidi ya 20, yaan siku 3 za vita waangushe mamlaka? Unawajua IRGC wewe? Nani kujitia kuwavamia ground?Hapo bado nchi za guba hazijaanza kurudisha mashambulizi.
Ni wakati saahihi sasa waajemi waangushe mamlaka ya kigaidi.
Mkuu unaamini propaganda za vyombo vya magharibi? Utachekwa🤣😂🤣😂Hapo bado nchi za guba hazijaanza kurudisha mashambulizi.
Ni wakati saahihi sasa waajemi waangushe mamlaka ya kigaidi.
Mwache aendelee kucheka na kujitekenya mwenyewe. Propaganda za vyombo vya kibeberu zinamharibu kichwa!Hizo habari ya X ya elon musk, Kwa taarifa Sahihi muajemi anaweza kutembea na hio kombination miaka zaidi ya 20, yaan siku 3 za vita waangushe mamlaka? Unawajua IRGC wewe? Nani kujitia kuwavamia ground?
Hawawezi hata kumlinda kamanda wao mkuu, anauliwa tu kama pimbi. Bure kabisa.Hizo habari ya X ya elon musk, Kwa taarifa Sahihi muajemi anaweza kutembea na hio kombination miaka zaidi ya 20, yaan siku 3 za vita waangushe mamlaka? Unawajua IRGC wewe? Nani kujitia kuwavamia ground?
Super power wamchongo analilia kuomba asaidiwe alidhani Iran ni Venezuela
View: https://youtu.be/e0Fg5D3U-RQ?si=cawCIr_3tux2QCYp
Super power wamchongo analilia kuomba asaidiwe alidhani Iran ni Venezuela
View: https://youtu.be/e0Fg5D3U-RQ?si=cawCIr_3tux2QCYp
Ayatollah mwenyewe walimuheshimu tuu kwasababu ya ukongwe wake na hekima ial kiongozi ajaye hawezi kufanya maamuzi ya kugoma kuingia Kwenye bunkers kwaajili ya usalama. Yule Mzee alikua anakaa kwake licha ukubwa wote wa Tehran Kama tzHawawezi hata kumlinda kamanda wao mkuu, anauliwa tu kama pimbi. Bure kabisa.
Shehe ni lini mnazika sasa kiongozi wenu mkuu.
Hakuna lolote bila ya yule body guard wake wasinge mjua yuko wapi, yule body guard walimnunua kumbe akawapa infomation lakini na yeye kajiua sasa.Ayatollah mwenyewe walimuheshimu tuu kwasababu ya ukongwe wake na hekima ial kiongozi ajaye hawezi kufanya maamuzi ya kugoma kuingia Kwenye bunkers kwaajili ya usalama. Yule Mzee alikua anakaa kwake licha ukubwa wote wa Tehran Kama tz
Sio mataifa mawili tu, hao wengine kawatungua na hawana majibu dadeki.Halafu anapambana na mataifa mawili sasa. Jamaa nimetokea kuwakubali sana.