Unadhani utazipata chief?Mimi nasubiri Wairan wa Chatembo waniletee picha au video ikionyesha Manowari ya Marekani ikizamishwa maana kabla ya vita ndio zilikuwa vitisho na tambo zao.
Vikosi vya ardhini vitaanza kazi kuingia Iran kama walivyofanya kwa IraqTatizo wakirusha hivihivi mfululizo wiki mbili tuu wataanza kulialia wameishiwa
🤣🤣Walihisi Ile ni mashua au ngalawa!!Mimi nasubiri Wairan wa Chatembo waniletee picha au video ikionyesha Manowari ya Marekani ikizamishwa maana kabla ya vita ndio zilikuwa vitisho na tambo zao.
Iran ni mwamba na nusu, pamoja na kua anapoteza ila namsifu kwa ujasiri wake, na kupambana mwenyewe bila kuomba kuonewa huruma ama msaada.😀😀 Jamaa unachekesha Sana. Ingawaje umeongea ukweli.
Iran alipofikia Hana ujanja lazina afanye hivyo ili asife kikondoo.
Namsifu kuliko wachukuliwe kama Maduro
Waluguru tunasema; ba mkude gangwe, kakimbizwa na simba kutoka porini kaja kuliwa mlangoni kwake. Japo kaliwa ba mkude lakin kapambanaIran ni mwamba na nusu, pamoja na kua anapoteza ila namsifu kwa ujasiri wake, na kupambana mwenyewe bila kuomba kuonewa huruma ama msaada.
Kawaida yao watu wa itikadi kali.IRGC wameanza kutumia hospital,misikiti na shule kushambulia..
Leo USA na Israel watoa tangazo kuwaondoa wagonjwa wote kwenye hospital ya taifa pamoja na baadhi ya misikiti kwasababu hawa IRGC wameanza zile style za hamas
"Ba mkude" hajapambana na "simba" kamkimbia, angeliwa hukohuko porini akipambana, si ajabu angemuua au kumjeruhi "Simba" na asiendelee kumjeruhi au kumuua kabisaWaluguru tunasema; ba mkude gangwe, kakimbizwa na simba kutoka porini kaja kuliwa mlangoni kwake. Japo kaliwa ba mkude lakin kapambana
Halafu anapambana na mataifa mawili sasa. Jamaa nimetokea kuwakubali sana.Iran ni mwamba na nusu, pamoja na kua anapoteza ila namsifu kwa ujasiri wake, na kupambana mwenyewe bila kuomba kuonewa huruma ama msaada.
Trump leo kasema Iran inaishiwa na makombora!Tatizo wakirusha hivihivi mfululizo wiki mbili tuu wataanza kulialia wameishiwa
😁😁US na Israel wameshasema hii ni nafasi ya mwisho kabisa kuipata kuimaliza Iran na watoto wake Hezbollah na Hamas. Kwahio hii vita wamepania wasafishe kabisa na kumpa utawala mtoto wa Shah wa Iran alieondolewa madarakani 1979 na Ayatollah Khomeini. Israel kaingiza askari wa miguu Beirut kusafisha hao Hezbollah.
Waarabu wa Buza hawafahamu kua waarabu original wa Middle East wanataka Iran ipigwe haswaa utawala wa ma Shia uondoke pale.
Muda si mrefu , Pray For Iran itaanza.
Ndio zao hizo, wakishaanza hivyo tutaanza kusikia kwamba wanaua wanawake na watoto kumbe wanawatumia kama kinga baada ya kuzidiwa.IRGC wameanza kutumia hospital,misikiti na shule kushambulia..
Leo USA na Israel watoa tangazo kuwaondoa wagonjwa wote kwenye hospital ya taifa pamoja na baadhi ya misikiti kwasababu hawa IRGC wameanza zile style za hamas
Hahahaha we unajua nchi za Gulf zimetumia kwa siku au siku mbili missiles za Air defense kila mmoja karibu zinazo tengenezwa kwa mwaka mmoja huko kwenye kiwanda cha silaha karibu zitawaishia. Afu Iran hata hajatumia 10% ya silaha zake.Hapo bado nchi za guba hazijaanza kurudisha mashambulizi.
Ni wakati saahihi sasa waajemi waangushe mamlaka ya kigaidi.
Hahahaha we unajua nchi za Gulf zimetumia kwa siku au siku mbili missiles za Air defense kila mmoja karibu zinazo tengenezwa kwa mwaka mmoja huko kwenye kiwanda cha silaha karibu zitawaishia. Afu Iran hata hajatumia 10% ya silaha zake.
Waziri wa majeshi wa America anapiga keleke huko anataka Gulf states waingie vitani ili badaye wawakimbie, wa mwache Iran anawasambaratisha.
USA kashikwa pabaya sana huyo Israel ni mda wa week au siku 10 ataishiwa hizo Missiles za Air defence system na hapo ndipo atapo malizwa na Iran
Sikia US secretary of defense anavyo lalamika hahaha tusaudirni warabu ingieni vita na Iran
View: https://youtu.be/3wQEmYT-cec?si=_BZ9NLaqfEvbI2Oi