hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..... kweli bange balaa, HAPO ONGEZEA AMOS NYANG'UYE NA RAMA J SAUNIGA
We si mdini kweli wewe?Ama ni just a coincidence?Hapo kwa Gagarino nimekubali tho.Hamis Gaga (gagarino) - uchezaji wake wa mpira uliibua watoto wengi mtaa kupenda mpira
Shaban Mazinge - comperative religions studies champion in Tanzania
Said Bakhresa - Azam product serves the poorest people in Tanzania...mlipa kodi mkubwa nchini (mapinduzi katika viwanda)
Mohamed Said - Mtetezi wa wanyonge na mwandishi mashuhuri wa vitabu Tanzania
unauliza jungu uswahilini?We si mdini kweli wewe?Hapo kwa Gagarino nimekubali tho.
Kweli tuna safari ndefu sana wabongo.Yani hayo ni majukumu yao waliyotakiwa wayafanye toka zamani sana.Lakini kutokana na ubovu wetu,basi hivi ndo viwango vyetu,hakuna muujiza wowote he was just doing his work the way he was supposed to. Sasa hata hili nalo tumpe ugreatest?Naona kwasababu labda umeguswa sana na hayo aliyoyafanya kutokana na adha ya usafiri.Hivyo sikulaumu coz ni tatizo sugu ambalo umeona/pata relief.Otherwise hakuna cha ajabu alichofanya.Na pia "umaarufuJina ambalo ningeweza kuliweka kama maarufu ni la bwana David Mwaibula, jamaa alisimamia suala la usafiri dsm na lilifanikiwa na sasa design yake inatumika nchi nzima (katika miji mikubwa) leo tunaona magari ya abiria (daladala, express, vifodi nk) vina alama za kutambulisha vinaenda wapi na makonda na madereva wanavaa suti
Dereck bryson, Mbunge wa zamani sana wa wilaya kinondoni. Huyu alikuwa anajua sana kujenga miji na mipya na kuweka huduma muhimu za jamii. Utaona wilaya ya kinondoni karibia miji yake mipya yote ina mitaa, shule za msingi na vituo vya polisi. Kijito Nyama, Mikocheni, mwenge na sinza.
halafu mwingine ni Brown Ngwilulupi: Huyu alikuwa meneja mkuu wa kampuni ya Sigara wakati wa ulanguzi wa siasa. alikomesha magendo ya sigara. alipandishs sana uzalishaji wa sigara na akaanza kusambaza sigala nyingi vijijini vijijini badala ya mijini. Walanguzi wengi walikuja nunua sigara Dar na walipoenda kuziuza vijijini walikuwa tayari sigara nyingi zimejaa na zinauzwa kw abei ya serikali!!!!!
Mwingine: mtu yeyote aliyepinga ujamaa mwaka 1967, Kasanga Tumbo. Ujamaa policy, Umetuletea fedhea barani africa na hatima yake huyo ujamaa ukafa kifo cha haibu!
Humu ni home of great thinkers lakini makapi yamo.Hakuna kigezo cha kuchuja wakati wa kujiunga,hivyo kama unataka kuwa great thinker basi jiunge na JF tu and you become one?Teh teh teh!Nadhani ili kuwe na great thinkers,ni lazima kuwe na watu kama nyie,otherwise tungepima vipi?Te teh teh!Sina mbavu miye.Kuondoa majini ni msaada mkubwa sana kwa taifa.i will go for the true prof maji marefu!jamaa anachomoa majini balaa!
We si mdini kweli wewe?Ama ni just a coincidence?Hapo kwa Gagarino nimekubali tho.
Kuna yule Stephen Akwari, sijui kama nimelipatia jina lake. Aliyeumia wakati akikimbia marathon, akamaliza muda mrefu sana baada ya mtu wa mwisho kumaliza. Alipoulizwa kwa nini aliendelea kushindana baada ya kuumia, akasema nchi yake imemtuma kumaliza mashindano