5 benefits of dating a rich guy

5 benefits of dating a rich guy

Mleta uzi umenifanya niandika kidogo Leo.....wanawake wengi( sio wote) wanategemea kupata vitu ambavyo hawavitolei jasho...wanategemea maisha mazuri pasipo yatengeneza ......
Kwa taarifa yako mleta uzi...
Mwanamke mzuri ni yule anayeanza maisha na mwanaume wake na kufikia mafanikio ama malengo yao pamoja hapo ndipo mwanamke atajivunia mafanikio hayo...ndo maana wanawake wengi wameishia kurubuniwa na kupata matatizo makubwa mno mind you....the best way to predict your future is to plan/ create it...
 
Indeed huu ni uhayawani....hao marich men wako wangapi dunia hii....mbona wanahesabika! Hadi umpate we we......wenzako hawajamwona...wanawake kama mleta uzi hawapo katika dunia ya sasa wewe ni wa ajabu kutotambua hilo .....
Mbiliabel alifunga ndoa za mikataba enzi hizo na wanaume maarufu lakini kuna kazi alikuwa anafanyaaa.......we we nani una nini cha Ziada? Pole sanaaaaaa mleta uzi
 
Hakuna mwanaume tajiri mwenye akili anayeweza kufanya hivyo. Kila siku (ki biashara) mwanamke ana depreciate , so mtu hawezi ku invest kwenye kitu ambacho siku zake zinahesabika!!
 
If you choose to believe everything you read, utashangaa.

1.Your wallet may take a break but your heart and mind is set for an endless roller coaster ride.

2. Great taste? Yeah and it doesnt just end with choice of cologne he wears, but with women too.

3.Your Mom will be delighted? Well, it depends. Don't count on it. Some mothers just want a decent man from a decent background.


4. All the pampering probably but at what cost. No man is going to spend all his money on a woman who doesn't bring anything to the table.

5. Future is secured? Jidanganyeni mtashaaaaaa. Try getting him stuck to you by getting pregnant.😀😀
Tena hapo ndio utaachwa mchana kweupe, muulize Hamisa Mobetto kilichomkuta! Atakuwa na somo la kuwafunza.
 
He can do whatever pleases him with your body and you don’t have the guts to tell him no
As well as fucking all the girls around that will have the same mindset as the one she has! Mwanaume mwenye hela ni mwanaume wa wote maana kila mwanamke anamuwania.
 
Ila wanawake mnashangaza sana.....leo hapa wengi watajidai hawakubaliani na mtoa mada. Kesho itakuja thread ingine mtaanza kusema mwanaume mwenye hela ndio mwanaume, masikini ukianza nae akipata anakukimbia
Wana tabu hawa, nawacheki tu af nasema hiiiiii🤣🤣🤣
 
Yani pita na hela zako kafe nazo mbele huko. Hawajui ilivyo kazi kumdate mtu usiempenda ila unapenda hela zake tuu.
Hahahahahah kumbe huwa ni shughuli eeh. Kuna mwenzio kaenda Songwe huko kumfuata jamaa. Ana hela za madini anauza Msumbiji. Ni ex wangu huyo ila anapenda hela dunia nzima hakuna. Yani kila tukikutana lazma akupige mzinga hata kama ni buku ya vocha yani lazma akuombe hela tu nikakomaa nae maana ni msupuu hatari ila mwisho nikarudisha majeshi nyuma.

Kwa jamaa hela zipo za kuogelea, yani akija anazibwaga kwenye drawer za kutosha hata 10M. Neno ni moja tu..."Chukua nunua unachotaka mama"...

Shida ni moja tu manzi ananiambia jamaa hana mvuto kabisa so hana mapenzi nae na pia hajui ku care like i did. Ananipenda sana ila anazitaka hela za jamaa sasa inabidi avumilie tu aseti mambo yake. Nilichomwambia we komaa tu na malengo yako.

As long as i got my Licence ya kupasha kiporo mie sina kwere.
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anatoka na mwarabu mmoja alikuwa mhasibu wa kampuni ya mafuta. Alipewa kila kitu, alipangiwa nyumba nzima ya kisasa, gari ya kutembelea katunguliwa yadi, alikuwa anavaa nguo za designers jamaa anamnunulia toka dubai, kila toleo la iphone likitoka tu bi dada analetewa, akitext tu "beby ninashida" laki kadhaa zinamwagika kama biko. yaani alikuwa ana maisha ambayo tulikuwa tunayaona kwny movie wengine hapa.

Chakushangaza rafiki yangu hakuwa na furaha na yule mwarabu. Alikuwa busy sana, yaani hana muda na bidada. Kila akimlalamikia mwarabu anamjibu kwani unakosa nn kila kitu nakupa, ukitaka kutoka niambie unahitaji kiasi gani utoke na marafiki zako alafu ntawajoin later, bas ndo ntolee hyo... Bi dada akaona isiwe shida, akaanza mahusiano na mlinzi wake kwny nyumba aliyopangiwa na mwarabu. Basi huku kwa mwarabu anakula vitu vyake, mgegedo anapewa mlinzi [emoji23][emoji23][emoji23] mwarabu akitaka mgegedo anamwambia nenda hotel fulani nikukute hapo....

Sasa mpaka leo sijapata jibu yupi bora, mwanaume mwenye hela au asiye na hela [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Hapo kuna mawili,
1.Mwanaume mwenye pesa hana muda always kwa sababu biashara ama kazi zake zinachukua 80% ya muda wake wote. Ila hutakosa chochote ambacho kinanunulika kwa pesa iwe nguo, gari au vito vya thamani.

2.Mwanaume asiye na pesa ana muda tena wa kutosha kufanya mambo yote ambayo yatakupa furaha. Mtapika pamoja,mtatia story, mtafanya mapenzi kwa nafasi, mtatembea na kusafiri pamoja n.k. ila sio vyote vya kununuliwa utavipata ukihitaji na pengine anaweza asiwe na hela ya kununua chochote. Ila furaha ya mapenz ni guaranteed!


Hayo mawili ndio daima yanamuweka katika dillema mtoto wa kike.
 
Back
Top Bottom