Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Demu mwenye hela anapunguza makali ya mizinga kwa 90% ndio maana tunawapenda. Halafu ukikuta sio mbinafsi kuna mambo mengine anaokoa jahazi. Mfano ukiyumba unaeza kuchukua mkopo kwake ukakamilisha mambo kwa mustakabali wenu.Lakini kwa sasa mnafight mpate japo mwenye hela ili iwe nafuu kwenu, huu ni ukweli usiopingika