5 benefits of dating a rich guy

5 benefits of dating a rich guy

Siwezi Mwifwa. Mi nikiomba hela huwa nakua nimebanwa kweli. Kwanza sinaga matumizi yasiyo ya lazima na hela za mwanaume wangu. Kwa sababu hiyo hela tunayoitumbua si bora tusave tu.
Bf alihamia Mwanza baada ya kumaliza chuo. Sasa akaniita Mwanza. Akaniambia nikakate ticket ya ndege. Nikawaza kulipoa ticket go and return, bado nikifika nitakaa hotel, bado atanitembeza kidogo. Nikaona gharama tu zisizo na maana wakati ile hela anaweza kuisave. Nilimwambia nitapanda bus (ilikua first time kwenda Mwanza). Sasa na yeye pale ndo aliamini kumbe huyu wala hana makuu kwenye hela kama anavyoonekana. Lakini ingekua ni limtu tu chief angenikatia ticket ya flight kama hawezi basi.
Lucky him

Good for u
 
Mwifwa moyo haupangiwi. Ukipenda hata mtu hana pa kuishi unampenda. Nilikwambia juu. Wanawake wengi huwa tuna ndoto za kupenda wanaume wenye hela. Ila inatokea unampenda mtu hana kitu na unaona sawa tu wala humuachi kwa sababu ulitaka gari na yeye hana ila kwa sababu umempenda unaendelea nae tu gari mtatafuta wote
Daaaaah mzigua katika ubora wake
 
Labda. Maana nakumbuka nilikuaga napenda wanaume weusi wenye afro. Ila ex bf alikua mweupe na ananyoa kipara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mimi mweusi lakin sina afro. naamini utanipenda hivo hvo koz kwenye kupenda hakuna vigezo.
 
Back
Top Bottom