AirTanzania, shirika linalochechemea kama si kufa, utani wako si wa kupuuzwa hata kidogo kuna kitu unataka kukiwakilisha katika thread yako hii. Bila kuficha nadhani MoD PAW kwako amekuwa kitisho hivyo umeona ujilipue kiutani lakini unataka kuufikisha ujumbe indirect.
Any way wosia wangu ni huu, JF ni jungu linajumuisha watu wengi hivyo ni lazima kuwa na MoD wanasimamia sheria, taratibu, kanuni na miongozo mbali mbali. Siungi mkono utani huu wa kuwashambulia Mods hususani PAW, TEKELEZA WAJIBU UDAI HAKI YAKO, FUATA SHERIA ILI SHERIA UKILINDE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.