3 Idiots ya Aamir Khan

3 Idiots ya Aamir Khan

ushabiki tuweke kando...hivi kuna jamaa anaweza kumfikia aamir khan kucheza chizi...hiv kuna mtu kwel
 
amir khan kwa india naweza kusema ndo the best actor...
Shah Rukh khan ndo the best huyo jamaa unaweza kucheki movie hadi ukalia ukicheki Kabhi Khushi Kabhie Gham, My name is Khan, Kal Ho Naa Ho, Kuch Kuch Hota Hai, Kyola, Deewan

Sasa umkute jamaa ana teswa au analia penzi au tuseme ana nyanyswa na kunyanyapaliwa lazima upate hisia

Kwny comedy pia anapiga sana Chamatkar, Chennai Expressv


Action utamkuta Ra One , Don, Ashoka the great

Jamaa anapiga kila type ya movie na uhusika ana vaaa haswa
 
Mimi nilicheki nikiwa form one 2012
Nilipenda pale jamaa alivyowategea umeme wale jamaa wakakojolea hahaha.

Ila let it shine kwangu ndo kali ya 2012.
Nakubali...let it shine bonge la movie
 
Shah Rukh khan ndo the best huyo jamaa unaweza kucheki movie hadi ukalia ukicheki Kabhi Khushi Kabhie Gham, My name is Khan, Kal Ho Naa Ho, Kuch Kuch Hota Hai, Kyola, Deewan

Sasa umkute jamaa ana teswa au analia penzi au tuseme ana nyanyswa na kunyanyapaliwa lazima upate hisia

Kwny comedy pia anapiga sana Chamatkar, Chennai Expressv


Action utamkuta Ra One , Don, Ashoka the great

Jamaa anapiga kila type ya movie na uhusika ana vaaa haswa
Kuna movie yake ina toka mwenzi huu ya sharukhan ina itwa ZERO
 
Shah Rukh khan ndo the best huyo jamaa unaweza kucheki movie hadi ukalia ukicheki Kabhi Khushi Kabhie Gham, My name is Khan, Kal Ho Naa Ho, Kuch Kuch Hota Hai, Kyola, Deewan

Sasa umkute jamaa ana teswa au analia penzi au tuseme ana nyanyswa na kunyanyapaliwa lazima upate hisia

Kwny comedy pia anapiga sana Chamatkar, Chennai Expressv


Action utamkuta Ra One , Don, Ashoka the great

Jamaa anapiga kila type ya movie na uhusika ana vaaa haswa
point yang ni kuwa aamir khan yupo unique...scene za aamir khan ni ngumu kwa weng kuziigiza....ila comedy za sharh khan kila mtu anaweza kuzifanya
 
point yang ni kuwa aamir khan yupo unique...scene za aamir khan ni ngumu kwa weng kuziigiza....ila comedy za sharh khan kila mtu anaweza kuzifanya
Ndio jamaa pia ana ubora wke kwny movie zke
 
Aisee mambo niaje wakuu?
Kwa wale waliowahi kuona baadhi ya movies za kihindi watakubaliana nami kwamba 3 Idiots ya Aamir Khan ni moja ya movie matata kabisa

Movie ilitoka 2009 , Binafsi niliiona mwaka 2011 , nikiwa kidato cha 6 kuna mshikaji wangu alikua akisoma pale Udsm hivyo siku moja nilimtimbia pale, jamaa akaniambia kwa vile unasoma PCM hii movie itakufaa sana,
Movie iliisha sikuelewa kivilee,
Mwaka uliofuata nipo chuoni nilisaka movie na kuirudia tena, the rest is history
Binafsi nimeona movies nyingi za kihindi kama
1. Taare zameen Par - Aamir Khan
Movie inazungumzia mtoto ambaye ana matatizo katika makuzi yake hivyo hawezi kusoma na haelewi chochote shuleni
2. My name is Khan- Shahruh Khan
3. Aatia
4. Koyla/Coyla
5. Sheeviy
Na nyinginezo ambazo Sikumbuki majina , ila kiukweli 3 Idiots imebaki kua movies bora kabisa kwangu kwa movie za kihindi,
Rancho - kijana mmoja maskini anasoma ili ampatie cheti kijana mmoja wa tajiri,
Chatur
Raju
Mr Virus "This is symbol of excellence "

two cows ideology - JamiiForums
 
Katika movie za kihindi ninazozienda zikiwekwa mezani 3 idiots haipo. Halafu wahindi movie zao za zamani ndio bomba sana
Duh hii utaielewa pale utakapoamua kuielewa ni hilo tu ipo kihisia na kihalisia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom