Shah Rukh khan ndo the best huyo jamaa unaweza kucheki movie hadi ukalia ukicheki Kabhi Khushi Kabhie Gham, My name is Khan, Kal Ho Naa Ho, Kuch Kuch Hota Hai, Kyola, Deewanamir khan kwa india naweza kusema ndo the best actor...
Wewe kaoge ukatikie ukuniKanye Sasa ulale
Madebe lidai unamjua?ushabiki tuweke kando...hivi kuna jamaa anaweza kumfikia aamir khan kucheza chizi...hiv kuna mtu kwel
Nakubali...let it shine bonge la movieMimi nilicheki nikiwa form one 2012
Nilipenda pale jamaa alivyowategea umeme wale jamaa wakakojolea hahaha.
Ila let it shine kwangu ndo kali ya 2012.
Kuna movie yake ina toka mwenzi huu ya sharukhan ina itwa ZEROShah Rukh khan ndo the best huyo jamaa unaweza kucheki movie hadi ukalia ukicheki Kabhi Khushi Kabhie Gham, My name is Khan, Kal Ho Naa Ho, Kuch Kuch Hota Hai, Kyola, Deewan
Sasa umkute jamaa ana teswa au analia penzi au tuseme ana nyanyswa na kunyanyapaliwa lazima upate hisia
Kwny comedy pia anapiga sana Chamatkar, Chennai Expressv
Action utamkuta Ra One , Don, Ashoka the great
Jamaa anapiga kila type ya movie na uhusika ana vaaa haswa
Siku anaitoa roho ilimuuma hatar full michoziDah....na peni yake ya astronaut![]()
Yap ile kacheza km mbilikimo ndani Katrin Keif yupo na Anushka alikuwa ana ipromote sana Instagram mwanzoni mwa mwakaKuna movie yake ina toka mwenzi huu ya sharukhan ina itwa ZERO
point yang ni kuwa aamir khan yupo unique...scene za aamir khan ni ngumu kwa weng kuziigiza....ila comedy za sharh khan kila mtu anaweza kuzifanyaShah Rukh khan ndo the best huyo jamaa unaweza kucheki movie hadi ukalia ukicheki Kabhi Khushi Kabhie Gham, My name is Khan, Kal Ho Naa Ho, Kuch Kuch Hota Hai, Kyola, Deewan
Sasa umkute jamaa ana teswa au analia penzi au tuseme ana nyanyswa na kunyanyapaliwa lazima upate hisia
Kwny comedy pia anapiga sana Chamatkar, Chennai Expressv
Action utamkuta Ra One , Don, Ashoka the great
Jamaa anapiga kila type ya movie na uhusika ana vaaa haswa
madebe yupi mrMadebe lidai unamjua?
Niliwahi kuambiwa kuhusu PK ila sijaiona bado
Ndio jamaa pia ana ubora wke kwny movie zkepoint yang ni kuwa aamir khan yupo unique...scene za aamir khan ni ngumu kwa weng kuziigiza....ila comedy za sharh khan kila mtu anaweza kuzifanya
Aisee mambo niaje wakuu?
Kwa wale waliowahi kuona baadhi ya movies za kihindi watakubaliana nami kwamba 3 Idiots ya Aamir Khan ni moja ya movie matata kabisa
Movie ilitoka 2009 , Binafsi niliiona mwaka 2011 , nikiwa kidato cha 6 kuna mshikaji wangu alikua akisoma pale Udsm hivyo siku moja nilimtimbia pale, jamaa akaniambia kwa vile unasoma PCM hii movie itakufaa sana,
Movie iliisha sikuelewa kivilee,
Mwaka uliofuata nipo chuoni nilisaka movie na kuirudia tena, the rest is history
Binafsi nimeona movies nyingi za kihindi kama
1. Taare zameen Par - Aamir Khan
Movie inazungumzia mtoto ambaye ana matatizo katika makuzi yake hivyo hawezi kusoma na haelewi chochote shuleni
2. My name is Khan- Shahruh Khan
3. Aatia
4. Koyla/Coyla
5. Sheeviy
Na nyinginezo ambazo Sikumbuki majina , ila kiukweli 3 Idiots imebaki kua movies bora kabisa kwangu kwa movie za kihindi,
Rancho - kijana mmoja maskini anasoma ili ampatie cheti kijana mmoja wa tajiri,
Chatur
Raju
Mr Virus"This is symbol of excellence "
Duh hii utaielewa pale utakapoamua kuielewa ni hilo tu ipo kihisia na kihalisiaKatika movie za kihindi ninazozienda zikiwekwa mezani 3 idiots haipo. Halafu wahindi movie zao za zamani ndio bomba sana