Unaambiwa ametembea zaidi ya kilometa 60Messi kumbe yupo?
Watu jamani mmekuwa wasiri
Ameingia saa ngapi huyu bwana?
On target zerooooooUmesikiliza vzuri lakini??? 😂😂😂
Barcelona ni kama maji...Piga umbwaa hao
Naunga mkono hoja, ni tapeliNico William amelipwa na infantino ili apige mpira nnje, muafrica ni muafrica tuu
😹😹😹😹 AloohTop scorer 🤣🤣🤣🤣