Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,691
- 130,516
Ndio nilishangaa lakini haikunushangaza.Naimani hata Scars ulishangaa, why Rodri n not Lionel.
Hii ndio sababu huwa sifagilii tuzo zinazotokana na kura.
Hiki tumekuwa tukikisema sana humu ila kwakuwa mara nyingi mnufaika wa huu upendeleo ni Messi, hamjawahi kutuelewa. Zaidi ndio mmekuwa mkituita hater na kutumia tuzo hizo kama sehemu ya kutamba kuonesha gape lake dhidi ya Ronaldo.
So yeah, Dwarf alikuwa na stats nzuri kuliko Rodri lakini FIFA wamekuja kumpa tuzo Rodri.
Sisemi kama Dwarf ndio alistahili kutwaa hiyo tuzo, ila ukifanya comparison kitakwimu kati yake na Rodri utaona namba zina mfavor zaidi Dwarf.
Lakini FIFA wao ni kama walifanya hivyo kwa kuangalia mechi ya mwisho na sio overall ya mashindano yote kiujumla.
Assist zaidi ya 400 kwenye career yake lakini kwenye fainali sio tu alishindwa kutoa assist, hata shot on target 1 ilimshinda.