Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,683
- 130,504
Nikihesabia ni kama namimi nakuwa nimeshiriki kwenye huo wiziSawa tuhesabie hata hizo unazodai robbery nani an tuzo na mataji mengi?
Aloo hizo hesabia wewe.
Nikihesabia ni kama namimi nakuwa nimeshiriki kwenye huo wiziSawa tuhesabie hata hizo unazodai robbery nani an tuzo na mataji mengi?
Tuzo gani?Nani ana tuzo,mataji,motm nyingi na mchango mkubwa wa magoli zaidi?
Huyo ndio GOAT vinginevyo ni mapenzi binafsi
Zishahesabiwa na zitahesabiwa vizazi na vizazi wewe tia huruma tu🤣🤣🤣Nikihesabia ni kama namimi nakuwa nimeshiriki kwenye huo wizi
Aloo hizo hesabia wewe.
Kwani Penaldo yeye zake hajapigiwa kura?Tuzo gani?
Hizi za kupigiana kura?
Vizazi vinavyo husudu wizi ndio vita counter hizo tuzo kama ni legit.Zishahesabiwa na zitahesabiwa vizazi na vizazi wewe tia huruma tu🤣🤣🤣
Kwa mujibu wa tuzo,mataji,goal contributions na motm Messi ndio GOAT
Ushaona namuita GOAT kwa kigezo cha tuzo?Kwani Penaldo yeye zake hajapigiwa kura?
Mbona umeshaanza kupaniki unahusisha mpaka CCM🤣🤣🤣Vizazi vinavyo husudu wizi ndio vita counter hizo tuzo kama ni legit.
Kwa mantiki hii sitegemei kukuona unaipinga CCM.
Kwasababu nayo inadai uchaguzi wa mwaka jana ulikuwa ni huru & haki na mgombea wake alipata kura zaidi ya milioni 30
Ukiachana na magoli kipi mbuzi wako amemzidi GOAT?Ushaona namuita GOAT kwa kigezo cha tuzo?
Wewe umesema Dwarf ni GOAT kwasababu ana tuzo nyingi. Hiyo ndio definition yako.
CCM na Messi utofauti wao ni platform tuMbona umeshaanza kupaniki unahusisha mpaka CCM🤣🤣🤣
UboraUkiachana na magoli kipi mbuzi wako amemzidi GOAT?
Hata mimi nasema CCM na Ronaldo ni kitu kimojaCCM na Messi utofauti wao ni platform tu
Wote wanafanya kitu kimoja
Unachekesha Ronaldo hamfikii hata Hazard🤣🤣🤣Ubora
Jionee mwenyewe hapa.Hata mimi nasema CCM na Ronaldo ni kitu kimoja
Labda kwa ujinga.Unachekesha Ronaldo hamfikii hata Hazard🤣🤣🤣
Hoja zimeisha🤣🤣🤣
mkuu kombe la dunia limeshaisha...kua mpoleBila wewe ulikuwa na upeo wa kujua hilo mapema
Wenzako iliwabidi wasubiri hadi mechi ya mwisho ya fainali kuona hiki ulichokiona wewe wiki kadhaa nyuma.
Mshasheherekea kufika hatua ya robo na mashuti 10 on target..?Kesho kutwa itakuwa ni anniversary ya wiki ya kusherehekea Argentina kukosa ubingwa tena bila shot on target kwa dakika 120
Naimani hata Scars ulishangaa, why Rodri n not Lionel.BREAKING | MESSI NAMED THE BEST PLAYER OF THE 2026
FIFA WORLD CUP BY 14 MAJOR MEDIA OUTLETS.
While FIFA officially awarded Rodri as the Player of the Tournament, 14 of the world's biggest football media outlets selected Lionel Messi as their Best Player of the 2026 FIFA World Cup.
The outlets include:
The Athletic. IFFHS
Sky Sports
The Guardian
beIN
Sports FOX Sports ESPN
Sports Illustrated
Goal Yahoo Sports
Bleacher Report
CBS Sports
The Daily Star
Tribuna
If someone still calls Messi "FIFA's boy," share this post with them and let
the facts do the talking.