Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,682
- 130,505
Ballon d'Or za wizi?Hata mchezaji mwenye ballon d'Or 8 ni mmoja tu🤣🤣🤣🤣
Na mwenye golden balls 2 world cup ni mmoja tu🤣🤣🤣
Ballon d'Or za wizi?Hata mchezaji mwenye ballon d'Or 8 ni mmoja tu🤣🤣🤣🤣
Na mwenye golden balls 2 world cup ni mmoja tu🤣🤣🤣
Ronaldo ndio mchezaji ambaye naweza kusema amenyimwa nafasi za kufunga mabao au mabao yake ya halali kukataliwa kuliko wachezaji wengine.Hata mabao ya Ronaldo yakupewa
Atacheza hata na pampas kikubwa goti wenu abebe wedikap amfikie messiPortugal huko wameandam weana wanataka jamaa acheze.
Kitu ambacho mimi na wewe tuna uhakika nacho ni kwamba hata katika age ya uzee bado Ronaldo hawezi maliza mechi bila shot on target.
Kwa nini tujadili kitu kimoja badala ya kujadili career yao kwa ujumla🤣🤣🤣Mimi nimeweka
Na kuna takwimu zingine hutaki kabisa kuziongelea hata kwa hiyo hiyo staili yako ya maneno matupu bado nakuona unapiga chenga.
Hili swala la kukosa shot on target/off target kwa dakika 90 nataka tulijadili kwa mapana yake.
Nitajie timu ya hapa NBC iliyowahi kumaliza mechi kwa dakika 90 ikiwa haina shot on/off target.
Mabao ya wizi?Ballon d'Or za wizi?
View attachment 3636918
Sawa tufunge mjadala tuone michango yao ya mabao,tuzo zao,mataji yao na motm zao naamini hapo GOAT atajulikana tuRonaldo ndio mchezaji ambaye naweza kusema amenyimwa nafasi za kufunga mabao au mabao yake ya halali kukataliwa kuliko wachezaji wengine.
Ukitoa mabao mawili kwenye mechi dhidi ya Bayern ambayo yalikuwa ni offside, hakuna sehemu nyingine unaweza kupinga magoli ya jamaa.
Na mind you hicho kilikuwa ni kipindi ambacho hakuna VAR.
Lakini Messi hadi la mkono ameshafunga.
Unaweza kuelezea hapa ilikuwaje Unai Simon kuwahi kuucheza huu mpira kabla ya Anduje?Atacheza hata na pampas kikubwa goti wenu abebe wedikap amfikie messi
Kwenye carrier zao ni nani ambaye amewahi kucheza mechi bila kupiga shuti lolote either ni off target au on target?Kwa nini tujadili kitu kimoja badala ya kujadili career yao kwa ujumla🤣🤣🤣
Tujadili mataji,michango yao ya mabao na tuzo zao tuone nani yupo juu
Argentina ndio wana hizo kashfa na ushahidi upoMa
Mabao ya wizi?
Kama World Cup ndio inayomfanya Messi awe bora kuliko Ronaldo, unakubaliana na mimi kuwa Toni Kroos ni bora kuliko Messi?Atacheza hata na pampas kikubwa goti wenu abebe wedikap amfikie messi
Achana na hayo mambo tufunge mjadala kwa tuzo,mataji na goal contributionsArgentina ndio wana hizo kashfa na ushahidi upo
Unaelewa kesi ya Negrea ina husu tuhuma gani?
Kwenye carrier zao nani ana tuzo na mataji machache?Kwenye carrier zao ni nani ambaye amewahi kucheza mechi bila kupiga shuti lolote either ni off target au on target?
Kwa dakika zote 90
Huo mjadala ndio unaoweza kutoa hitimisho la uhalali wa hayo mataji.Achana na hayo mambo tufunge mjadala kwa tuzo,mataji na goal contributions
Unafanya spinning au swali langu hulioni kama ambavyo Argentina ilivyoshindwa kuliona lango la Spain?Kwenye carrier zao nani ana tuzo na mataji machache?
Sawa tuhesabie hata hizo unazodai robbery nani an tuzo na mataji mengi?Huo mjadala ndio unaoweza kutoa hitimisho la uhalali wa hayo mataji.
Otherwise kama utapenda kuhesabia hadi robbery trophies.
Nani ana tuzo,mataji,motm nyingi na mchango mkubwa wa magoli zaidi?Unafanya spinning au swali langu hulioni kama ambavyo Argentina ilivyoshindwa kuliona lango la Spain?