Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,522
- 235,247
SijapendaKizee kilipambana kipate tuzo za mwishimwisho bhna, hata hamkihurumii.
Wangeongeza na Tuzo ya kutembea uwanjani
Jamaa angepata
SijapendaKizee kilipambana kipate tuzo za mwishimwisho bhna, hata hamkihurumii.
Tuzo la kulia"Cocurella was covering his mouth when confronted me but he didn't get a red card."
"Referee, no fair, no fair."
View attachment 3633387
Alifunga magoli mangapi?Wote tumeona na tumejua nani aliyeibeba Argentina 2022
View attachment 3633472
Ronaldo unamshindanisha na timu nzima? Mimi nmesema post MCHEZAJI WAKO unaemkubali mwenye WEDIKAPU, wangu Messi Alisha complete footballKumbuka Ronaldo ana same amount ya Champions League ambazo timu fulani imekuwa ikijaribu kuzipata kwa zaidi ya miaka +120
Mo Salah kwasababu katoka Barra la Giza kajitahid, ila level za world cup sio saizi yakeMimi ni team mo Salah
Na team Spain
Vitoto vya Gen Z vilivyoamua kudhalilisha wazee watembee uwanjani bila kazi
Huyo kacomplete football Sina neno hapoMessi
SawaHuyo kacomplete football Sina neno hapo
We Jamaa😹😹😹😹Uwepo wa Messi kwenye mechi ya usiku wa kuamkia leo View attachment 3633481
SawaMessi hakufanya pressing, tracking back, wala marking na hakuwa na mchango wowote kwenye eneo la ulinzi.
Kamaliza game akiwa na idadi ya magoli 0 assist alizotoa 0 na dribbles alizokamilisha 0
Kocha wa Argentina Scaloni alitakiwa kumuanzisha mchezaji mwenye damu changa ambaye ana njaa ya mafanikio ambaye angekuwa na madhara makubwa kama Lautaro Martinez.
Badala yake kaenda kumuanzisha mzee wa miaka 39, aliyechoka, mbinafsi the glory hunting grandpa.
Messi alikuwa anawasaidia Spain kuwakaba Argentina and that was the biggest reason they failed to beat Spain.
The only explanation? Scaloni was too scared to bench Messi.
View attachment 3633512
Kaangalie fainali ya 2022Alifunga magoli mangapi?
Kama amemaliza kila kitu, unaweza kuelezea kwanini jana alikuwa analia?Ronaldo unamshindanisha na timu nzima? Mimi nmesema post MCHEZAJI WAKO unaemkubali mwenye WEDIKAPU, wangu Messi Alisha complete football
Mfungaji bora pekee ni tuzo.Mfungaji bora hana tuzo?
Atachukua kwa mara nyingine Ballon d'Or.Rodri kalamba zote huyu mwamba nimemnyooshea mikono.
Mchezaji bora wa
World cup
Uefa Euro
Uefa nations league
Uefa champions league
Mashindano yote haya waliochukua Rodri alikuwa mchezaji bora hatari
Mkuu nimekuona pma ndugu yangu tafadhali HammazArgentina hakuweza kukutana na timu ngumu.
Timu yao ni ya kawaida tu.
England ni ujinga wao tu kuwaza kushikilia bomba mapema.