Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,024
- 125,996
Daah. 😂😂Yupo busy kumbembeleza mbuzi wakeView attachment 3633220
Daah. 😂😂Yupo busy kumbembeleza mbuzi wakeView attachment 3633220
Alitaka kumchomea kwa refa Cocurella.Mbusi ya watu kiroporopo
View attachment 3633454
uzuri wa ureno shot on target alikua nayo tofauti na huyu wa kusini ya mbaliNi wazi kuwa hata huyo Goat wa ureno asingeweza kupambana na hawa watoto wa Spain
Hawa watoto wameaga kwao🙌
Alifata nini sasa hii tournament na huku alishagamaliza. AIBURonaldo unamshindanisha na timu nzima? Mimi nmesema post MCHEZAJI WAKO unaemkubali mwenye WEDIKAPU, wangu Messi Alisha complete football
watu mna ukorofi kwani alikua anacheza hahhahahahKbabakee goaaaaaaalllllqaaa hatimae messi anasawqzisha bao 1-1 [emoji91]
Mkuu, kuna shida mahali. Messi unayemshusha hivi ni huyu wa world cup au ni yule mwenye vikombe vingi kuliko mchezaji yoyote aliyewahi kucheza soka la ushindani? Yule mwenye baloon d'or 8.? Kama ni huyu dunia inayemjua basi ndugu yangu utakuwa na shida mahali.Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.
Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?
Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?
Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?
Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??
Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.
Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.
Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Mkuu, kuna shida mahali. Messi unayemshusha hivi ni huyu wa world cup au ni yule mwenye vikombe vingi kuliko mchezaji yoyote aliyewahi kucheza soka la ushindani? Yule mwenye baloon d'or 8.? Kama ni huyu dunia inayemjua basi ndugu yangu utakuwa na shida mahali.
Tofautisha emotinal na kulia. We umati wote jukwaani kuanzia dk ya kwanza hadi mwisho wanachant jina lake messi messi messi afu usipatwe na hisia?Kama amemaliza kila kitu, unaweza kuelezea kwanini jana alikuwa analia?View attachment 3633524
Mechi iliisha kwa Magoli mangapi ?Kaangalie fainali ya 2022
Utaona mchango wake
Punguzaga uongo anzia na ile anaingilia mchezo karibia na 18 na kumpora mpira mchezaji wa spain akitokea katikati ya uwanja.Messi hakufanya pressing, tracking back, wala marking na hakuwa na mchango wowote kwenye eneo la ulinzi.
Kamaliza game akiwa na idadi ya magoli 0 assist alizotoa 0 na dribbles alizokamilisha 0
Kocha wa Argentina Scaloni alitakiwa kumuanzisha mchezaji mwenye damu changa ambaye ana njaa ya mafanikio ambaye angekuwa na madhara makubwa kama Lautaro Martinez.
Badala yake kaenda kumuanzisha mzee wa miaka 39, aliyechoka, mbinafsi the glory hunting grandpa.
Messi alikuwa anawasaidia Spain kuwakaba Argentina and that was the biggest reason they failed to beat Spain.
The only explanation? Scaloni was too scared to bench Messi.
View attachment 3633512
So ile ilikuwa ni kilio cha furaha??Tofautisha emotinal na kulia. We umati wote jukwaani kuanzia dk ya kwanza hadi mwisho wanachant jina lake messi messi messi afu usipatwe na hisia?
Siwezi kukuandikia kila kituMechi iliisha kwa Magoli mangapi ?
Yesterday Messi had just 5 touches. Out of those 5, three were from corner kicks.Punguzaga uongo anzia na ile anaingilia mchezo karibia na 18 na kumpora mpira mchezaji wa spain akitokea katikati ya uwanja.