2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mbusi ya watu kiroporopo
View attachment 3633454
Alitaka kumchomea kwa refa Cocurella.

Kuna narrative ya kishamba ambayo mashabiki wake wamekuwa wakim praise Messi dhidi ya Ronaldo eti Messi ni humble.

I still don't get it, I mean how could a so called humble man be a snitch?
 
Vijana WC imeeisha, hii wiki ikiisha turudi kwenye majukumu ya kujijenga kimaisha na taifa kwa ujumla. Hata aliyeanzisha huu uzi alilenga watu wafurahie kwa wakati huu mfupi maisha mengine yaendelee. Tusitumie muda mrefu kujadili mambo yaliyopita na yasiyo tuongezea pesa.
Tafuteni pesa muishi maisha ya raha bila stress.
 
Torres Vs Zlatan

— 1 World cup ✅ 404 not found❌
— 1 Goal provided✅ 404 not found❌
— 1 Assist given ✅ 404 not found❌

So Zlatan a.k.a fake lion is cooked using his own logic

Screenshot_20260720-170120.png
 
It’s not easy to accept reality when cheating and corruption can’t gain access to the field.
 
Mashabiki wa Argentina baada ya kufungwa wakataka kufanya maandamano kuchukua kombe kinguvu.

Hapo ndio ikabidi Murilo na vijana wake waingilie kati.
 
Mchezaji aliyemaliza kila kitu kwenye mpira akicheka kama ishara ya kufurahia ushindi wa fainali dhidi ya Spain
FB_IMG_1784502044094.jpg
 
Nilisahau kutoa shukrani za dhati kwa uran kwa kuanzisha huu uzi. Shukrani kwa wote mliokuwa mkipita hapa kila siku kwa coment na mapicha.
Niwatakie wote afya na baraka tele. Mkae na amani ya bwana.
 
Hata Infantino hakutarajia ndio maana aliwaandalia njia nyepesi.

Wewe unafikiri ni kwa bahati mbaya Argentina iwe timu pekee kwenye miaka 96 ya World Cup kufika semi final bila kukutana na top 10 ranked?

Hivi unadhani yale ambayo tumekuwa tukiyalalamikia humu kuhusu favouritism ambayo Argentina na Messi wamekuwa wakiipata, ilikuwa ni maneno matupu yasiyokuwa na hoja?

Unadhani ni kwanini Laporta ambaye ni raisi wa Club ya Barcelona kabla ya mechi alisema Spain wana timu nzuri ya kushinda kuliko Argentina ila ikiwa tu mwamuzi atachezesha fair?

Hivi unafikiri ni bahati mbaya kwenye miaka 96 ya World Cup (kasoro minne iwe karne ) Messi kuwa na Penalty nyingi kuliko mchezaji yeyote na huku penati 4 akizipata kwenye single tournament??

Uliyemuona jana, yule ndio Messi ambaye sisi tumekuwa tukimjua siku zote na tukiwaambia mnakaza fuvu.

Stats za Messi jana ni sawa tu na zangu ambaye nilikuwa naangalia hiyo game maana sina on target, sina off target, sina dribbles, sina goli.

Kitu pekee kinacho nitofautisha nayeye ni kwamba, mwenzangu alikuwa hana hivyo vyote akiwa yupo uwanjani wakati mimi nikiwa kwenye kitanda.
Mkuu, kuna shida mahali. Messi unayemshusha hivi ni huyu wa world cup au ni yule mwenye vikombe vingi kuliko mchezaji yoyote aliyewahi kucheza soka la ushindani? Yule mwenye baloon d'or 8.? Kama ni huyu dunia inayemjua basi ndugu yangu utakuwa na shida mahali.
 
Mkuu, kuna shida mahali. Messi unayemshusha hivi ni huyu wa world cup au ni yule mwenye vikombe vingi kuliko mchezaji yoyote aliyewahi kucheza soka la ushindani? Yule mwenye baloon d'or 8.? Kama ni huyu dunia inayemjua basi ndugu yangu utakuwa na shida mahali.

GOST - Greatest Of Some Times 🐐
FB_IMG_1784557833159.jpg
 
Messi hakufanya pressing, tracking back, wala marking na hakuwa na mchango wowote kwenye eneo la ulinzi.

Kamaliza game akiwa na idadi ya magoli 0 assist alizotoa 0 na dribbles alizokamilisha 0

Kocha wa Argentina Scaloni alitakiwa kumuanzisha mchezaji mwenye damu changa ambaye ana njaa ya mafanikio ambaye angekuwa na madhara makubwa kama Lautaro Martinez.

Badala yake kaenda kumuanzisha mzee wa miaka 39, aliyechoka, mbinafsi the glory hunting grandpa.

Messi alikuwa anawasaidia Spain kuwakaba Argentina and that was the biggest reason they failed to beat Spain.

The only explanation? Scaloni was too scared to bench Messi.
View attachment 3633512
Punguzaga uongo anzia na ile anaingilia mchezo karibia na 18 na kumpora mpira mchezaji wa spain akitokea katikati ya uwanja.
 
Tofautisha emotinal na kulia. We umati wote jukwaani kuanzia dk ya kwanza hadi mwisho wanachant jina lake messi messi messi afu usipatwe na hisia?
So ile ilikuwa ni kilio cha furaha??

Haya, na hii unaelezeaje?

Naambiwa mpaka sasa kagoma kutoka uwanjani
FB_IMG_1784503994135.jpg
 
Back
Top Bottom