Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
Kwetu rahaaa
😂😂😂😂😂
Vile vitoto vya Spain vinajua kudhalilisha wakubwaMUNGU FUNDI BANA AISES JAMAA HATA MCHEZAJI BORA KAUKOSA HAHAHAAAAAAAA
ASHINDWEEEEEEEE KABISAA
Hawa SpainKwetu rahaaa
SITAKI MANENO, NATAKA PICHA YA MCHEZAJI WAKO UNAEMPENDA AKIWA NA WEDIKAPUAti nini wedikapu😂😂
Acha kucheka NATAKA PICHA😂😂😂😂😂
Hawa SpainKwetu rahaaa
Ni wazi kuwa hata huyo Goat wa ureno asingeweza kupambana na hawa watoto wa SpainAcha kucheka NATAKA PICHA
Aaaah hembu nipe picha bana au huna MCHEZAJI unaemkubali ?Ni wazi kuwa hata huyo Goat wa ureno asingeweza kupambana na hawa watoto wa Spain
Hawa watoto wameaga kwao🙌
Ulichoandika hakielewekiNimekwambia Ronaldo na Badr Hari na sio Ronaldo pekee
Kumbuka Ronaldo ana same amount ya Champions League ambazo timu fulani imekuwa ikijaribu kuzipata kwa zaidi ya miaka +120