The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,337
- 118,809
Hawa SpainKwetu rahaaa
Ni wazi kuwa hata huyo Goat wa ureno asingeweza kupambana na hawa watoto wa SpainAcha kucheka NATAKA PICHA
Aaaah hembu nipe picha bana au huna MCHEZAJI unaemkubali ?Ni wazi kuwa hata huyo Goat wa ureno asingeweza kupambana na hawa watoto wa Spain
Hawa watoto wameaga kwao🙌
Ulichoandika hakielewekiNimekwambia Ronaldo na Badr Hari na sio Ronaldo pekee
Kumbuka Ronaldo ana same amount ya Champions League ambazo timu fulani imekuwa ikijaribu kuzipata kwa zaidi ya miaka +120
MessiSITAKI MANENO, NATAKA PICHA YA MCHEZAJI WAKO UNAEMPENDA AKIWA NA WEDIKAPU
Basi wewe ndo utakuwa na wenge la mwamba Yamal alichowafanyia Ureno mpaka unashindwa kuelewa hata vitu vidogo🤣🤣🤣🤣Ulichoandika hakieleweki
Ni kama bado una wenge na kitu alichokufanyia Yamal jana
You need prayers
View attachment 3633378