Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,874
- 147,340
Wanasema team Messi na team yamalChagua timu ukishinda itabidi niusindikize usiku wako na shawarma ya ngamia.
Me:team yamal
Wanasema team Messi na team yamalChagua timu ukishinda itabidi niusindikize usiku wako na shawarma ya ngamia.
Na refa kaona kabisa sasa huu ni mpira wa miguu au NFLBinafsi nashangaa!!!
Hao mayanki wanashambulia sio poa leo andunje kazini kwake kuna kazi…!! 😹Ila hawa madogo wa spain wanacheza aisee
Pamoja na yote wana mpira
Bonge la mchezaji huyo ila ana goli 1 tu mpaka sasa.Huyu Yamal angepewa kiatu cha ugoko maana ana kiherehere
Wenge lako tuHii game kama bado haina radha au wenge langu
scars naomba link
Nipo Argentina crush 😍Napendelea kusoma zaidi pande hizi crush, vipi uko upande gani kwanza?
Hatari lakini salamaHio ndio Argentina
SijuiKakubali yaishe?
Kuna faulo Argentina wamecheza mbili za kupewa Yellow card ila refa kafumba macho.Na refa kaona kabisa sasa huu ni mpira wa miguu au NFL
Basi nisamehe mkuu nimekosaMimi naongelea magoli,kwani lazima niongelee unachokiongelea wewe?
Wanacheza na watt wa elf 2 na 5 damu changaWazee wa Argentina washaanza kuanguka hovyo 😹
🤣🤣🤣 Poleni sana aiseeSijui
Kwa namna fulani sioni vibe la fainal kabisaNdondo cup fainal