Wenge lako tuHii game kama bado haina radha au wenge langu
scars naomba link
Nipo Argentina crush 😍Napendelea kusoma zaidi pande hizi crush, vipi uko upande gani kwanza?
Hatari lakini salamaHio ndio Argentina
SijuiKakubali yaishe?
Kuna faulo Argentina wamecheza mbili za kupewa Yellow card ila refa kafumba macho.Na refa kaona kabisa sasa huu ni mpira wa miguu au NFL
Basi nisamehe mkuu nimekosaMimi naongelea magoli,kwani lazima niongelee unachokiongelea wewe?
Wanacheza na watt wa elf 2 na 5 damu changaWazee wa Argentina washaanza kuanguka hovyo 😹
🤣🤣🤣 Poleni sana aiseeSijui
Kwa namna fulani sioni vibe la fainal kabisaNdondo cup fainal
Kabisa mtu anapandwa juu refa anameza filimbiKuna faulo Argentina wamecheza mbili za kupewa Yellow card ila refa kafumba macho.
Wewe jana si ulikuwa unamshangilia Mbappe na ukafikia kabisa hatua ya kumuita mwanaume mashineNipo Argentina crush 😍
Siwezi kua upande mmoja na hao waliojificha kwenye kichaka ha Spain
Kumbe wengeni mi mashabiki wa yule babu wa kireno
Wewe timu yako jana imecheza kama inashindania kikombe🤣🤣🤣Mna maneno sana nyie timu andunje