Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
😅😅😅😅Refa wa Jana alikuwa hacheki na wowote
Hana penati za bure
Gaat baada ya kukosa on target hata moja, na penati hata moja hakupata.
Inauma sana
😅😅😅😅Refa wa Jana alikuwa hacheki na wowote
Hana penati za bure
Gaat baada ya kukosa on target hata moja, na penati hata moja hakupata.
Inauma sana
Dakika 120 winga wenu ana 0 shotWalikuwa makini sana wasimkere...
Uzi wao wenyewe lakini saizi wanaingia kwa kuviziaNumbisa
Lamomy
Saint Anne
Da'Vinci Angel Nylon hawa na wengine wachache sijashika majina yao ndo najua team spain ht tungefungwa tungekubali matokea...😅😅😅
Bila kusahau Scars walimsemq sn
Good morning 😀Dakika 120 winga wenu ana 0 shot
Hivi tuna uhakika gani na hizi tafsiri zinazomtaja kuwa ni winga?
Au winga kwa maana ya
View attachment 3633290
Umekunywa chai?Uzi wao wenyewe lakini saizi wanaingia kwa kuvizia
View attachment 3633294
🤣🤣🤣🤣🫡Uzi wao wenyewe lakini saizi wanaingia kwa kuvizia
View attachment 3633294
Good morning 😀
InshaAllah Asantee kakaJana hali yenu ilikuwa mbaya best.
Anyway! Next time inshallah...
Picha ya Ronaldo kwani si nimeiweka hapo juu sheikh?Tafuta picha ya Ronaldo na Badr Hari
Niko fitUmekunywa chai?
Haya basi tumekoma sisi
Nimekwambia Ronaldo na Badr Hari na sio Ronaldo pekeePicha ya Ronaldo kwani si nimeiweka hapo juu sheikh?
Au mpaka tukufanye hivi?
View attachment 3633315
Ati nini wedikapu😂😂