comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,119
- 16,114
Mganga wa Argentina anatoka kwamsisi HANDENI
Spain wanachokifanya ni nini??Wako 8 uwanjan Messi hakuna analolifanya anszurura tu
Atakuwa mshabiki wa Portugal au Ronaldo anaona raha Argentina wanavyotaabikaUkali wake ni upi ?
So aibu ni historia wakishinda,spain washaanz kupanicItakua aibu sana kama argentina watachukua hili kombe. Dakika zaidi ya 100 no shot on target!🙁
Mkuu unakumbuka game moja uefa Barca vs Chelsea ilikuaje? Nadhani nusu fainali uefa. Barca waliupiga haijawahi kutokea. Lkn walitupwa nje.Wazee wa 1.5 over kama nawaona vile mkiwa na hasira ila hamuwezi kusema kwasababu ni hasara iliyoletwa na mchezaji wenu.
View attachment 3633014
Aliyeharibu fainali ni Spain. Sio ArgentinaArgentina wametuharibia finali . Ilitakiwa hapa watu wapishane mwanzo mwisho
Leo hakosi nakuambia, atapiga bomba mpira uchane nyavuIla Messi anakosa sana penalty sikuhizi
Hii ndio maana ya kuitwa bingwa mteteziNaendelea kuwaamkia Argentina... Shikamooo
Argentina hakuweza kukutana na timu ngumu.Kwenye Ballon d'Or eti Messi ndio jina la kwanza.
Aaah kumamamake hizi tuzo zimekaa kindugunization na connection.
Bila kuwa na mtu kwenye system huwezi kupata.
Imagine hii mechi bado haieleweki Messi anacheza nafasi gani kiwanjani.
Unaweza kudhani labda mechi ya leo imechezeshwa na marefarii wawili uwanjani kwasababu wote hawagusi mipira japo mmoja unaweza kumuona kwenye faulo.View attachment 3633021
Spain ni timu bora mno kwenye kuchezea mpira. Lakini ukija kwenye mipango ya mpira huyo kocha wa Argentina ni noma sana.Haya ndio yalikuwa maisha ya Argentina kabla ya Gianni Infantino.
Na huyu Messi mnayemuona leo ndio yule aliyefikiria kustaafu 2016
Watu wanacheza kwa plan,huyo spain mwenye ontarget 12 ana magori mangapi?Itakua aibu sana kama argentina watachukua hili kombe. Dakika zaidi ya 100 no shot on target!🙁