Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,048
- 14,663
Lazima afunge huyo dogo kuna namna Argentina wanafanya sana makosa huo upande.Upande wa Yamal ndio uliwaliza Ufaransa goli mbili na la tatu kukataliwa Argentina wawe makini sana na ndio upande ulio wakosa kosa Argentina mpaka sasa.