Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 15,198
- 35,211
Sasa dk za kwanza tu umesha ona wavamizi wa mpira bhanaHivi ni mimi tu naiona hii mechi kama sio fainal vile imekaa kienyeji enyeji tu
Sasa dk za kwanza tu umesha ona wavamizi wa mpira bhanaHivi ni mimi tu naiona hii mechi kama sio fainal vile imekaa kienyeji enyeji tu
Kakosa nafasi dogo huyuAtapata goli
Refa nimempenda bure.Refa hacheki na wowote
Fifa imeliuza soka kwa matajiri/mabeberu...Unaambia bei ya tiketi leo ni hatari
Be patient....Argentina hata sielewi mpira unachezwa kulia tu