Safi sana...
KweliAnaecheka mwanzo ndio atalia mwisho 😅
Una enjoy nini ?Hii ndo mechi bna watu tunainjoi,sio kama jana watu wanapiga vipasi uchwara,
Hii mechi Refa akisema apige filimbi kila tukio basi tutaangalia mipira ya foul tu.Unapenda sana robbery?
Mtu anaye expose robbery, kwenu mnamuita shujaa au
Ni Piga nikupigee butua nikubutuee. Nouma sanaSafi sana...
Hua mnatokea Argentina akifungwa ndio maana nikahisi nyote ni hattersNi kama
Kwamba mimi ni Hater wa Messi?
Itakuwa kuna mahali umechanganya mafaili yako