Hua mnatokea Argentina akifungwa ndio maana nikahisi nyote ni hattersNi kama
Kwamba mimi ni Hater wa Messi?
Itakuwa kuna mahali umechanganya mafaili yako
Anamuomba afanye jambo kipindi cha pili 😂😂😂Messi anafanya nini na refa ??????????
Acha matusiHii mechi Refa akisema apige filimbi kila tukio basi tutaangalia mipira ya foul tu.
Kingine nimeona wewe ni mshabiki wa Ma U (Nyumbu) ila ajabu leo hii unazungumzia fair (inafurahisha!!!) unasahau Howard Webb aliwabeba kiasi gani huko nyuma...Au unataka fair sababu Messi anacheza?
Ngoja timu moja ipate red card ndio akili zitawarudiaHamna mpira hapa kwa mtu kweli anayetaka kutazama mechi nzuri.
Mpaka first half inaisha hakuna cha maana cha kuchambua kuhusu mpira huu ni ushenzi tu unaendelea uwanjani.
Punguza gubuNikiweka hivi basi kuna vinabo wana mind
Weka zako zinazo kufurahisha
View attachment 3629854
View attachment 3629856
Kabisa. Full mieleka.Naona England 🏴 na Argentina 🇦🇷 wameanza kucheza shaulini soccer ⚽️
Hii ni vita isiyo na milipuko.Nje moto ndani moto, half time tu wamechezeana foul mara 19, tusishangae red kadi huko mbeleni.
Hizo weka wewe sasaPunguza gubu
Weka za portugal.