2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Jamani wakati waldi kapu inaanza mimi timu Ufaransa.
Baada kutolewa sina timu tena, hata hivyo nitampa sapoti mwenye uzi huu bro uran kushangilia Ingiland, hivyo basi team Argentina mabaya yawakute kwenye mechi hii😂😂😂.
Asante sana.
Mpira bado ni mgumu sana
 
Wewe kama unajua team yako ilishatolewa WC au ilifungwa semifinals, basi hakikisha unakunywa dawa za presha vizuri, maana MESSI 🐐 ataendelea kuwatia presha na sukari itawapanda
Ukimchukia Messi 🐐 basi unauchukia mpira, Mpira ni Messi na Messi ni mpira, yaani ukizungumzia mpira unamzungumzia Messi 🐐
 
Hahahahaha ila Forbes

Screenshot_20260715-231311.png
 
Wewe kama unajua team yako ilishatolewa WC au ilifungwa semifinals, basi hakikisha unakunywa dawa za presha vizuri, maana MESSI 🐐 ataendelea kuwatia presha na sukari itawapanda
Ukimchukia Messi 🐐 basi unauchukia mpira, Mpira ni Messi na Messi ni mpira, yaani ukizungumzia mpira unamzungumzia Messi 🐐
Mimi ni team Messi lalkini mimi siyo team Argentina.
Messi afunge japo goli moja lakini Argentina itolewe tu.
 
Back
Top Bottom