2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wewe kama unajua team yako ilishatolewa WC au ilifungwa semifinals, basi hakikisha unakunywa dawa za presha vizuri, maana MESSI 🐐 ataendelea kuwatia presha na sukari itawapanda
Ukimchukia Messi 🐐 basi unauchukia mpira, Mpira ni Messi na Messi ni mpira, yaani ukizungumzia mpira unamzungumzia Messi 🐐
 
Hahahahaha ila Forbes

Screenshot_20260715-231311.png
 
Wewe kama unajua team yako ilishatolewa WC au ilifungwa semifinals, basi hakikisha unakunywa dawa za presha vizuri, maana MESSI 🐐 ataendelea kuwatia presha na sukari itawapanda
Ukimchukia Messi 🐐 basi unauchukia mpira, Mpira ni Messi na Messi ni mpira, yaani ukizungumzia mpira unamzungumzia Messi 🐐
Mimi ni team Messi lalkini mimi siyo team Argentina.
Messi afunge japo goli moja lakini Argentina itolewe tu.
 
Back
Top Bottom