2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Aah ok, safari njema..

Dawa sio kuliondoa jmn, tutaondia mangapi?
5 nimetoa🙌🙌
Ni vile sijapata tu watu waxuri wa mitishamba sshv wengi feki mpk umpate wa ukweli ni kipengel...😃
Nitafanya ile ya kuua mizizi kutoa tena hapana aisee
Pole kama umetoa inatosha, kwetu singida wanatibu kienyeji kwa ndulele (sijawahi ona nasikia tu) unaambiwa halitakaa liume tena.

Asante.
 
Scars amelaza fuvu kesho akiamka atasema assist ya Messi 🐐 ilikuwa ni kona ya offside 🤣😂👽 huyu tukimundekeza atakuja kusema Tz ilitakiwa kucheza WC tatizo walinyimwa magoli na Mangungu wa 5imba
Jamaa anakerwa na Messi... Sijui jamaa anaishije maana Messi is everywhere
 
Back
Top Bottom