Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 3,174
- 8,972
Hii mechi wametumwa kufia uwanjani, last game vs Egypt walicheza kitoto sana... Egypt ingekuwa serious last game ingetufunga hata goal 5Hawa Argentina kadiri mechi zinavyoenda mbele wanadhidi kuwa tactical. Walinipa mashaka sana na beki zao, lkn naona wamekuwa makatili sana