Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,847
- 141,232
Duh! Norway hao 😀
Wewe sasa ndio kilaza, yupo banned kivipi. Taarifa nyingi zake watu huamini na huzichukua kama source ya habari na kuamini, hiko ndio nilimaamisha labda kama hujaelewa.We jamaa kilaza kweli, Fabrizio yupo banned chombo chochote kile serious cha habari, sub zetu za Man U, Chelsea, Arsenal etc kote yupo banned sababu ni Mzee wa Tap In anasubiri habari toka waandishi wakubwa ili aseme na yeye, umfananishe na Molina?
There is a reason why Vyombo vya habari vikubwa anapublish investigative reports zake bila hata kuajiriwa huko, he is that respected.
Andreas💥💥💥We unaona hapo uwanjani wanacheza kitu gani
Ni kweli...ila si unaona tayar Norway kashafanya yakr hukoKwenye soka lolote linaweza kutokea lakini sioni namna gani Wanaweza kupambana na Argentina. Argentina safari yake itafika mwisho kama atakutana na England semi final
Ila uliona Haaland alivyokosa goli?Duuh tumepigwa
Mechi haijaishaNi kweli...ila si unaona tayar Norway kashafanya yakr huko
Inakuwaje pale! Mbona kama Kane alikwatuliwa?binti kiziwi njoo tuangalie hii mechi, Mimi natamani England itolewe japo najua Wanaweza kupita
🤔 ni mbinafsi?Halland hafurahii wenzie wakifunga
Nimeona ile labda refa kauzu kama wa Paraguay/FranceMbona kama Kane alichezewa faulo?
Kama watoto wa shule🤔 ni mbinafsi?
UtotoKama watoto wa shule