Saivi sijui hata anashabikia timu gani siku hizi anajidai nyutroooooo 🤣Unamkosea uran kila timu anayokimbilia inatolewa
Yupo England huyo mzee.Saivi sijui hata anashabikia timu gani siku hizi anajidai nyutroooooo 🤣
Nae alikua timu GOT akanywewa supu kwa chapati mojaSaivi sijui hata anashabikia timu gani siku hizi anajidai nyutroooooo 🤣
Molina ni reliable kuliko chombo chochote kile cha habari cha michezo, ni Julian Asange wa Mpira, scandal karibia zote kubwa yeye ndio whistleblower, ana reports kwa mamia zikiwa na accuracy kubwa mno.
Hii mega thread ya report zake zote kama humjui
View: https://www.reddit.com/r/soccer/comments/qx8akt/megathread_romain_molinas_the_guardian_ny_times/
Ngoja tuone leo kakutana na kibonde atajiokoteaYupo England huyo mzee.
#Hallelujah!!!
Mpira ni hesabu, subiri utaona majibu.Wanazifanyia wapi wakati muda wote uwanja umeinamia kwao?
Hivi kane kuna game yoyote ashapata kadi ya njano? Maana takwimu zinaonyesha leo akipata kadi pamoja Bellingham hata wakishinda next game hawatohusika au Trump atapiga simuMkuu England ndio timu yangu ya kwanza.
Hata kabla mashindano haya hayajaanza.
Nawakumbuka sana wewe na Mtaachana mlivyokuwa mstari wa mbele kunisagia kunguni...
Haya hawa hapa tuko robo fainali.