Sagax
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,274
- 2,675
England hawana uwezo wa kuwatoa Norway leo.Ngoja tuone leo kakutana na kibonde atajiokotea
#Hallelujah!!!
England hawana uwezo wa kuwatoa Norway leo.Ngoja tuone leo kakutana na kibonde atajiokotea
Kila la kheriEngland timu yangu ya kwanza
We unaona hapo uwanjani wanacheza kitu ganiKibonde yuko robo fainali?
Ngoja tuoneEngland hawana uwezo wa kuwatoa Norway leo.
#Hallelujah!!!
Sio kibonde ngoma ile ya asili ya norway inachanganya sana hasa mpigaji akiwa halaandNgoja tuone leo kakutana na kibonde atajiokotea
Basi ngoja tuoneKwani game yao na Brazil walichezaje?
Huo ndio mchezo wao
Ni bora wajitahid wamtoe england ila mbeleni ni kugum sanaHawa Norway leo wanacheza mpira gani huu?
Tofauti kabisa na walivyocheza dhidi ya Brasil.
We jamaa kilaza kweli, Fabrizio yupo banned chombo chochote kile serious cha habari, sub zetu za Man U, Chelsea, Arsenal etc kote yupo banned sababu ni Mzee wa Tap In anasubiri habari toka waandishi wakubwa ili aseme na yeye, umfananishe na Molina?"..Ni reliable kuliko chombo chochote cha michezo..."? Hii kauli tu Inatosha kupuuza unachosema, how a random person akawa reliable kuliko chombo chochote cha michezo?? Hata Fabrizio bado hawezi kuwa na hii leverage
Pia Ukimaanisha basi hata FBI wanaochunguza hilo jambo nao sio reliable? Tunasubiri Molina? Hata hivyo Mbona hakuna alichosema ambacho hakijasemwa??
Kima zabe mazabeSijui ata walimfungaje Brazili hawa