Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,846
- 49,271
Duh!..hii mechi noma...Itakua misri walitumia cape Verde kama mfano wa kuisoma Argentina.
Tuone lakini mpaka mwisho...
Duh!..hii mechi noma...Itakua misri walitumia cape Verde kama mfano wa kuisoma Argentina.
Tanesco mafara sanaWasha sola usipitwe na uhondo
Nikisema mechi iishe ndio nifurahi naweza nisifurahi kwasababu yambele siyajui.Boss unaangalia bolu na kisirani dhidi ya KING LEO😃 Unafurahisha sana shabiki wa Nyumbu.
MI sijambo kabisa best. 🥰
Hahahaaa. Mi nilialikwa nishangilie Argentina ila aliyenishawishi hata simuoni hapa.
Mtani uko wapi lakini Greatest Of All Time. Uje kujibu mshambilizi huku.
Safi sanaNikisema mechi iishe ndio nifurahi naweza nisifurahi kwasababu yambele siyajui.
Jana nilikuwa na siku mbaya sana na nilisema itafika time namimi nitacheka.
Wakati wenyewe nauona ndio huu sasa kwanini nisiutumie, ukiharibika je?
So yeah this is my hate watch
Waarabu wanajua mpira chief usiwachukulie poa...Kutolewa na hawa waarabu ni aibu kubwa, Bora kutolewa na ngozi nyeusi
Ndio huyo mimi naingia sasa!! Kuna habari gani humu mtani ShadeeyaRafiki Mtani Greatest Of All Time uko wapi kwani?
Kakosa penaltyTehe! Hii ni penalty
Hata Gianni Infantino naye anaona hivyo hivyoHuyu kipa wa Egypt ni tatizo