2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wew unavyona misri walikua hawaitaji subs.
Nani angetoka ili aingie nani ndio tatizo. Sub iliyofanyika kumuweka nje Hussein imeacha mwanya.
Shida Argentina inacheza kama timu sio mtu, ndio maana Messi anaweza kaa nje na usione mapungufu uwanjani. Mtu yeyote pale anaweza kuwa replaced, selection yao ya kikosi kocha hakuzingua.
 
Egypt wangeweza kufanikiwa kama wangemkaba huyu mchezaji wa Argentina aliyeingia na filimbi.

FB_IMG_1783447323266.jpg
 
Back
Top Bottom