Nani angetoka ili aingie nani ndio tatizo. Sub iliyofanyika kumuweka nje Hussein imeacha mwanya.Wew unavyona misri walikua hawaitaji subs.
Wacha wamwagiwe..wewe unatabgulia 2 goals then unakuja kujilza laza..Refa kama dragon, anamwaga tu moto wa card 😂🙌🔥
Pole sana.Numbisa alikua ananionea. Afadhali sasa sijui kajificha wapi
Naona mnaleta fujo uwanjani mntaka nini sasaNipo ila Argentina siwapendi kwa kweli.
Mbeleko mingi
Wamebebwa sanaaaaa.... haina kabaiyaaaaaaNipo ila Argentina siwapendi kwa kweli.
Mbeleko mingi
Mkuu tunazingua bwana..sana sanaNipo ila Argentina siwapendi kwa kweli.
Mbeleko mingi
Wamerudi kwenye ndoa zaoKuna wale team naniii mlijua kutawala hapa kipindi Misri wanaongoza...
Sasa hivi siwaoni😀😀😀
Ukibebwa bebekaWamebebwa sanaaaaa.... haina kabaiyaaaaaa
Team France since day one
Sahihi kabisa.Egypt wangeweza kufanikiwa kama wangemkaba huyu mchezaji wa Argentina aliyeingia na filimbi.
View attachment 3624495
Kuna namna unawakera watu humuMessi mwamba