2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kombe la Dunia sio tende kwamba kila mwarabu atakula.. ngamia pori gudubai

#Hallelujah!!!
IMG_0784.jpeg
 
Wewe ni shabiki wa Messi mwanzo ulikuwa umejificha kwenye uanamichezo ile ilikuwa ni blanda na nilikustukia.

Huu ni usnitch, namna nilivyoku confront wewe ndio namna ile ile ambayo Ronaldo kam confront huyo snitch journalist ambaye alijificha kwenye mwamvuli wa media.

Utofauti wako na yeye ni kwamba, wewe umetumia kichaka cha uanamichezo kuficha mapenzi yako kwa Messi wakati yeye katumia media kuficha mapenzi yake kwa Messi.

it's okay kuwa shabiki wa Messi ila kujificha nyuma ya kivuli cha uanamichezo ili uwe unashambulia kwa kinga ya kuto rudishiwa kwasababu huja declare hiyo tunaita ni hypocrisy.
Mm sio shabiki wa Messi mm napenda football

timu ya Taifa ninayoipenda ni Ujeruman inafuata England
 
Ndugu mchambuzi mbona kinyonge sana🤣🤣🤣
Mi sio mchambuzi mimi ni shabiki na nilijipambanua tangu mwanzo.

Hao wajuu hao ndio wachambuzi ila wote wanamchambua mtu mmoja tu.

Hii ndio nikiyoisema mwanzo.

Akishinda Messi, mjadala unakuwa ni Ronaldo. Akifunga Lamine Yamal, mjadala unakuwq ni Ronaldo.

Akisipofunga Ronaldo, mjadala unakuwa ni Ronaldo. Akifunga Ronaldo mjadala unakuwa Ronaldo.

Na timu anayochezea Ronaldo ikifungwa, ikifunga mjadala ni Ronaldo.

Kama kauli yangu ni uongo jaribu kufuatilia wachambuzi wetu wa kina Suma Mnazaleti wa JF.
 
Mi sio mchambuzi mimi ni shabiki na nilijipambanua tangu mwanzo.

Hao wajuu hao ndio wachambuzi ila wote wanamchambua mtu mmoja tu.

Hii ndio nikiyoisema mwanzo.

Akishinda Messi, mjadala unakuwa ni Ronaldo. Akifunga Lamine Yamal, mjadala unakuwq ni Ronaldo.

Akisipofunga Ronaldo, mjadala unakuwa ni Ronaldo. Akifunga Ronaldo mjadala unakuwa Ronaldo.

Na timu anayochezea Ronaldo ikifungwa, ikifunga mjadala ni Ronaldo.

Kama kauli yangu ni uongo jaribu kufuatilia wachambuzi wetu wa kina Suma Mnazaleti wa JF.
Toka kwenye uzi wetu
1000052945.jpg
 
Back
Top Bottom