2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

The adidas Trionda match ball that will be used for the World Cup final on July 19 has been unveiled ✨
IMG_0775.jpeg
IMG_0776.jpeg
 
Ila sikujua km Ronaldo ni childish ivi

Chrstiano Ronaldo:we mwandishi unaenichukia uliza swali najua hunipendi hata macho yako yanaonyesha😁😁
 
Mara ya mwisho kukutana

uran unasema mabeki wanajua weakness ya GOAT angalia hilo bao limefungwa dhidi ya mabeki watatu.

Inawezekana tukiwa nje huku ni rahisi ku spot hizo weakness zake kuliko waliopewa majukumu ya kuzuia.
 
Trump naye🤣

Trump:
nilimpigia simu Rais wa fifa nikamwambia inawezekanaje mchezaji wetu (USA) aadhibiwe kwa kadi nyekundu na uzuiwe kushiriki mchezo ujao ambao hajafanya makosa?😁😁


Anaendelea
.... Nashukuru wameifuta kadi nyekundu la sivyo wangepatwa na kitu kibaya Sana naamansha kibaya Sana mm nilikuwa mwanamichezo mzuri najua Sheria😁😁

Anaendelea
.... Mm ndiye niliyefanikisha kombe la dunia kuchezwa kwenye nchi hii nzuri na pia Olympics na nikawapa canada na Mexico vimechi vichache😁
Lazima nipewe heshima yangu

Trump
 
Ila sikujua km Ronaldo ni childish ivi

Chrstiano Ronaldo:we mwandishi unaenichukia uliza swali najua hunipendi hata macho yako yanaonyesha😁😁
Wewe ni shabiki wa Messi mwanzo ulikuwa umejificha kwenye uanamichezo ile ilikuwa ni blanda na nilikustukia.

Huu ni usnitch, namna nilivyoku confront wewe ndio namna ile ile ambayo Ronaldo kam confront huyo snitch journalist ambaye alijificha kwenye mwamvuli wa media.

Utofauti wako na yeye ni kwamba, wewe umetumia kichaka cha uanamichezo kuficha mapenzi yako kwa Messi wakati yeye katumia media kuficha mapenzi yake kwa Messi.

it's okay kuwa shabiki wa Messi ila kujificha nyuma ya kivuli cha uanamichezo ili uwe unashambulia kwa kinga ya kuto rudishiwa kwasababu huja declare hiyo tunaita ni hypocrisy.
 
Back
Top Bottom