Kwanza pole sana da vinci lazma watoke Spain nakuhakikishia hilo 📌Wakuu naombeni sana mniombee siku ya leo, sijui nitakua na hali gani Spain akitoka. The night is long and full of terror
View attachment 3623912
Kwanza pole sana da vinci lazma watoke Spain nakuhakikishia hilo 📌Wakuu naombeni sana mniombee siku ya leo, sijui nitakua na hali gani Spain akitoka. The night is long and full of terror
View attachment 3623912
Morocco atafungwa na France..
Hakuna chuki.
Kwahiyo angekua senegal na ufaransa ungeshabikia senegal 😄 ila waarabu hapana, wazungu ni walijua kuaingiza mkenge.....Huo ndio ukweli. Kama unashabikia Morocco basi jia dae kisaikolojia.
Huwezi kusikia Scars akisema kitu kuhusu hilo tukio coz halijatokea kwa messi. Ila ni jambo la ajabu kuwaji kufanyika. Scars itakua ni shabiki wa Israel maana ndio dunia inawanafikiaga. Akipigwa dunia inasimama akipiga watu hawamsemi.Trump naye🤣
Trump: nilimpigia simu Rais wa fifa nikamwambia inawezekanaje mchezaji wetu (USA) aadhibiwe kwa kadi nyekundu na uzuiwe kushiriki mchezo ujao ambao hajafanya makosa?😁😁
Anaendelea
.... Nashukuru wameifuta kadi nyekundu la sivyo wangepatwa na kitu kibaya Sana naamansha kibaya Sana mm nilikuwa mwanamichezo mzuri najua Sheria😁😁
Anaendelea
.... Mm ndiye niliyefanikisha kombe la dunia kuchezwa kwenye nchi hii nzuri na pia Olympics na nikawapa canada na Mexico vimechi vichache😁
Lazima nipewe heshima yangu
Trump
Shida inaanzia kwenye dini mkuu. Yaani aliyeleta dini alijua kutugawa sana, mtu unashindwa kuikubali Moroco coz ni nchi ya kislam. Nashukuru Mungu nishavuka kwenye upumbavu wa kuweka udini mbeleKwahiyo angekua senegal na ufaransa ungeshabikia senegal 😄 ila waarabu hapana, wazungu ni walijua kuaingiza mkenge.....
Mimi ni Argentina dam dam, Morocco na Spain
Najua wapo ambao watashabikia ufaransa kisa kuna weusi, Morocco ni waarabu pia ni waislamu so sioni ajabu kwa upande wa pili japo sio wote+baadhi ya waislamu wakishabikia ufaransa kisa weusi 😄
Morocco forever
Shida iko wapi?Mara ya mwisho kukutana
uran unasema mabeki wanajua weakness ya GOAT angalia hilo bao limefungwa dhidi ya mabeki watatu.
Inawezekana tukiwa nje huku ni rahisi ku spot hizo weakness zake kuliko waliopewa majukumu ya kuzuia.
View attachment 3623916
Watu wamefukua post ya mwaka wa mbele ya Ronaldo😂😂😂😂Kwanza pole sana da vinci lazma watoke Spain nakuhakikishia hilo 📌
Kwamba nafurahi maamuzi aliyoyafanya Trump?Huwezi kusikia Scars akisema kitu kuhusu hilo tukio coz halijatokea kwa messi. Ila ni jambo la ajabu kuwaji kufanyika. Scars itakua ni shabiki wa Israel maana ndio dunia inawanafikiaga. Akipigwa dunia inasimama akipiga watu hawamsemi.
#Upumbavu mtupu
Marekani wana mambo ya ajabu sana.Kwa hili la kurudisha mchezaji mwenye kadi nyekundu mashindano yamekuwa ya hovyo na ujinga tayari.
Bora asicheze huyo mchezaji bado nafasi wanayo.
Mhispania wa Bonyokwa andaa machozi.Wakuu naombeni sana mniombee siku ya leo, sijui nitakua na hali gani Spain akitoka. The night is long and full of terror
View attachment 3623912
Kwamba nafurahi maamuzi aliyoyafanya Trump?
Hapana Trump hajawahi kuwa mtu naye mkubali na hili nimekuwa nikisema tangu hata hajawa raisi kwa mara ya pili.
Ni kweli lingetokea kwa Messi ningesema tena sio kidogo, ningesema sana kwasababu huyu jamaa amekuwa petted to the fullest.
Atapigwa tu mla damu za watuMarekani wana mambo ya ajabu sana.
Atarudi na bado watapigwa tu.
Shida iko wapi kwani?
Ukiwa upo upande wa Ronaldo utagundua yule ni mdogo sana yule wala hawezi kumpa mtu shida.Messi anawatesa sana, soon lakin anastaafu national team so mtapumzika, mpambane na wakina haaland, lamine na mbape😄
Kwa Tz zife kwanza Simba na Yanga
Kumwanzisha CR7 ni kuifanya timu icheze pungufu. Tumemwona jinsi anavyotoka struggle hata kule Saudia ligi. Sema spain walipaswa kumpumzisha Pau Cubasi aanze hata Erick Garcia. Pau hana nguvu japo ni beki mzuri.Kuna kitu ambacho nimeki observe kwa watu wanaosema kuwa Ronaldo sijui amechoka, au sio tishio kwa defenders kwasababu wanamjua udhaifu wake.
Defenders wa mtandaoni wana mawazo tofauti na wale defenders ambao wapo kwenye pitch wakikabiliana na Ronaldo.
Kila mtu mtandaoni humuongelea Ronaldo kama mchezaji asiyekuwa tishio mbele ya mabeki lakini swali linakuja, mbona kwenye kila mechi Ronaldo anayocheza tunaona mabeki zaidi ya watatu wanamzunguka yeye?
Kwamba hii inatokea tu kwa bahati mbaya mchezaji ambaye sio tishio achukue attention kubwa ya mabeki? Au ni kwasababu mabeki wanajua uwezo halisi wa jamaa ndio maana wanafanya kila kitu kuhakikisha hapati fursa?
Jaribu kufikiria tu hata ile freekick ambayo Ronaldo alikuwa nyuma ya mpira, fuatilia muda uliotumika kupanga ukuta mpaka Ronaldo akakasirika? Hayo yangewezekana vipi ikiwa mpigaji wanajua ni mtu ambaye sio tishio?
Ukiwa upo upande wa Ronaldo utagundua yule ni mdogo sana yule wala hawezi kumpa mtu shida.
Mechi yenu ya Afcon dhidi ya Egypt mnacheza lini?
Shida ni kuhitaji solution kwenye tatizo ambalo halikusumbui.Wakuu naombeni sana mniombee siku ya leo, sijui nitakua na hali gani Spain akitoka. The night is long and full of terror
View attachment 3623912
Nakubalina na wewe mkuuEgipty wakinda 120 ɓ
Kumwanzisha CR7 ni kuifanya timu icheze pungufu. Tumemwona jinsi anavyotoka struggle hata kule Saudia ligi. Sema spain walipaswa kumpumzisha Pau Cubasi aanze hata Erick Garcia. Pau hana nguvu japo ni beki mzuri.
Bora angefanya ujanja wa kumwacha nje kwanza,me naona Ureno wanapigwa tu maana wapo disorganised sanaEgipty wakinda 120 ɓ
Kumwanzisha CR7 ni kuifanya timu icheze pungufu. Tumemwona jinsi anavyotoka struggle hata kule Saudia ligi. Sema spain walipaswa kumpumzisha Pau Cubasi aanze hata Erick Garcia. Pau hana nguvu japo ni beki mzuri.
🤣🤣🤣Shida ni kuhitaji solution kwenye tatizo ambalo halikusumbui.
Shida yako inayokusumbua wewe haitatuliwi kwa maombi.
Shida yako wewe ni kuipenda Spain na Messi. Sasa maombi yanaendaje kutibu hili tatizo?
Unataka kufanya watu makoo yakauke, sauti zikwame kwa kukemea jambo ambalo halipo?
Sikujua kama mashabiki wa Messi mnaweza kufikia kiwango hiki cha usumbufu kwa wengine.