2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kujitafakari ni kosa? Au wao hawaruhisi kufanya vizuri tena? Kimsingi timu yeyote inabidi ijitafakari otherwise hakuna sababu ya kuwa mshindani kama huna nia ya kushinda kombe.
Nani kasema kujitafakari ni kosa?

Team zilizotolewa ni nyingi tu mpaka sasa,
Unajua ni kwanini wewe umezitaka German na Brazil tu zijitafakari? na hukutaja nchi zingine pia?

Coz umeona kua hao ni giant na wameanguka,so ukiona giant wanaanguka ujue kuna wengine wameibuka,

Zama zao zimeshapita,huo ndio ukweli mchungu,


Unapowataka wajitafakari,ina maana walienda kwenye mashindano bila kujitafakari? hawakwenda kwa nia ya kushinda kombe kama unavyodai wewe kua mshindani ni lazima uwe na nia ya kushinda kombe?
 
Nani kasema kujitafakari ni kosa?

Team zilizotolewa ni nyingi tu mpaka sasa,
Unajua ni kwanini wewe umezitaka German na Brazil tu zijitafakari? na hukutaja nchi zingine pia?

Coz umeona kua hao ni giant na wameanguka,so ukiona giant wanaanguka ujue kuna wengine wameibuka,

Zama zao zimeshapita,huo ndio ukweli mchungu.

Kama kujitafakari sio kosa basi warudi drawing board kujitafakari. Kama wengine wameibuka na wao wanaweza kuibuka tena. Kama hawana hilo tumaini they might as well call it quits hawana sababu ya kushiriki.
 
Kama kujitafakari sio kosa basi warudi drawing board kujitafakari. Kama wengine wameibuka na wao wanaweza kuibuka tena. Kama hawana hilo tumaini they might as well call it quits hawana sababu ya kushiriki.
Kombe ni moja tu mkuu,

Kwani wewe ulitaka wasitolewe?

Kwahiyo team zingine kutolewa ni sawa ila Brazil na German kutolewa sio sawa na ndio maana umeshangaa na kuwataka wajitafakari?

Mpira unabadilika mkuu,
Zama zao za kudominate WC zilisha pita.
 
Kombe ni moja tu mkuu,

Kwani wewe ulitaka wasitolewe?

Kwahiyo team zingine kutolewa ni sawa ila Brazil na German kutolewa sio sawa na ndio maana umeshangaa na kuwataka wajitafakari?

Mpira unabadilika mkuu,
Zama zao za kudominate WC zilisha pita.

Hakuna sehemu nimesema nilitaka wasitolewe.

Toka hili kombe limeanza hakuna mtu in their right mind aliwapa Brazil nafasi ya kubeba ndoo wala kufika semis. Wala Germany.

On the flip side, wamewahi kuwa a powerhouse na wana infrastructures zote za kufanya vizuri, kwanini wanashindwa? France is a threat miaka yote kwanini wao wameweza ku maintain kiwango chao? Spain too. Mpira umebadilika kwa Germany na Brazil tu ila sio kwa France na Spain?

Kama nchi zingine zinafanya vizuri wao kinawashinda nini kufanya vizuri? Kutolewa kwenye michuano is one thing, ila jinsi walivyotolewa na viwango vyao haviridhishi hata kidogo.

Hili kombe ni la France labda wapoteze wenyewe.
 
Hapa ndio unapo feli.

Ronaldo akianza ni advantage kwa Portugal kuliko akianzia benchi.

Defenders watakuwa bize zaidi kwa Ronaldo na hii ndio itakuwa opportunity kwa wachezaji wengine kufunga.
Exactly
Mambo ya kuja kuwaingiza kina Neymar
Mayele
Lukaku wakati watu washapigwa wako dkk za mwishoni sio poa
Wananiboa mno
 
Kuna watu weusi wana roho mbaya , chuki na wabaguzi mno haswaa kwa waarabu. Timu za kaskazini hawazishabikii kisa waarabu, sijui waarabu waliwakosea nini watu hawa! Na morocco kadri anavyozidi kuperfom maadui ndio wanazidi kuumia, waumie na wateseke wataju wenyewe
Morocco atafungwa na France..

Hakuna chuki. Huo ndio ukweli. Kama unashabikia Morocco basi jia dae kisaikolojia.
 
Hakuna sehemu nimesema nilitaka wasitolewe.

Toka hili kombe limeanza hakuna mtu in their right mind aliwapa Brazil nafasi ya kubeba ndoo wala kufika semis. Wala Germany.

On the flip side, wamewahi kuwa a powerhouse na wana infrastructures zote za kufanya vizuri, kwanini wanashindwa? France is a threat miaka yote kwanini wao wameweza ku maintain kiwango chao? Spain too. Mpira umebadilika kwa Germany na Brazil tu ila sio kwa France na Spain?

Kama nchi zingine zinafanya vizuri wao kinawashinda nini kufanya vizuri? Kutolewa kwenye michuano is one thing, ila jinsi walivyotolewa na viwango vyao haviridhishi hata kidogo.

Hili kombe ni la France labda wapoteze wenyewe.
Unaikumbuka France kwenye World Cup iliyofanyika South Africa? Ulikiona kiwango chao? Uliona walivyotolewa?

Kwahiyo waliotolewa ni German na Brazil tu?

Sasa wote wakifanya vizuri na hakuna anaye drop,kombe achukue nani? Nani atolewe kwenye mashindano?
 
Kumbe France walifanya vibaya afu wakabounce back? Kwanini hawa ni ajabu kuambiwa wajitafakari ili na wao warudi kwenye reli?

Narudia, Kutolewa kwenye michuano is one thing, ila jinsi walivyotolewa na viwango vyao haviridhishi hata kidogo.
 
Hii marathon ya kiatu cha dhahabu imekuwa kali sana.

Olise pushing Mbappe
Odegaard pushing Haaland
Infantino pushing Messi
FB_IMG_1783345067498.jpg
 
Hapa ndio unapo feli.

Ronaldo akianza ni advantage kwa Portugal kuliko akianzia benchi.

Defenders watakuwa bize zaidi kwa Ronaldo na hii ndio itakuwa opportunity kwa wachezaji wengine kufunga.
Defender wanajua tayari weaknes zake.
Mind you akianzia nje mtashinda.
Akianza hii game mtakuwa na wakati mgumu sana.
Spain wana mpira wa kasi sana.
 
Defender wanajua tayari weaknes zake.
Mind you akianzia nje mtashinda.
Akianza hii game mtakuwa na wakati mgumu sana.
Spain wana mpira wa kasi sana.
Kuna kitu ambacho nimeki observe kwa watu wanaosema kuwa Ronaldo sijui amechoka, au sio tishio kwa defenders kwasababu wanamjua udhaifu wake.

Defenders wa mtandaoni wana mawazo tofauti na wale defenders ambao wapo kwenye pitch wakikabiliana na Ronaldo.

Kila mtu mtandaoni humuongelea Ronaldo kama mchezaji asiyekuwa tishio mbele ya mabeki lakini swali linakuja, mbona kwenye kila mechi Ronaldo anayocheza tunaona mabeki zaidi ya watatu wanamzunguka yeye?

Kwamba hii inatokea tu kwa bahati mbaya mchezaji ambaye sio tishio achukue attention kubwa ya mabeki? Au ni kwasababu mabeki wanajua uwezo halisi wa jamaa ndio maana wanafanya kila kitu kuhakikisha hapati fursa?

Jaribu kufikiria tu hata ile freekick ambayo Ronaldo alikuwa nyuma ya mpira, fuatilia muda uliotumika kupanga ukuta mpaka Ronaldo akakasirika? Hayo yangewezekana vipi ikiwa mpigaji wanajua ni mtu ambaye sio tishio?
 
Back
Top Bottom