Kwanza nimepitia takwimu Messi hana assist.Sawa.
Morroco yupo vizuri , usimchukulie ki wepesi ivyo, last time kaishia semi finalMorocco atapigwa achakae...
Natunza maneno...
Tusubiri..Kadri michezo inavyoendelea ndivyo inavyobadilika.
Ufaransa na Paraguay waliteseka sana
Messi hana tuta, tuta alikosa.So far ndio mfungaji mzuri sasa.
Mbape na Messi kila mmoja anagoli la tuta hapo
Inabidi tukubali zama za kuangalia majina ya timu zimepita...Germany na Brazil inabidi warudi drawing board kujitafakari.
Brasil wa siku hizi wengi wao ni social media influencers kuliko wacheza mpira.Hata Brazil leo wamekosa nafasi nyingi za wazi
Brazil wamekuwa mdebwedo mbele ya Argentina miaka ya hivi karibuni, mwanaume Colombia wanapiga mpira ukiwazingua vinatembea vitu.Messi fainal Copa America 24/25 dk za mwanzo kipindi cha kwanza wakamkanyaga kifundo akatolewa. Baada ya hapo ilikuwa mwendo wa kutembeza viatu mwanzo mwisho mechi ilienda mpaka dk 120 ndipo Lautaro akatupia.Tena yule mwamba aliye mkanyaka Messi alikuwa anawindwa ilikuwa kama vita.Norway has removed ONE threat for Argentina.
WHAT A SCRIPT!
Vijana wanakuja kushindana magoli na Waze kama kina Messi na Ronaldo..Brasil wa siku hizi wengi ni social media influencers.
Ile Brasil ya akina Romario, Bebeto, Rivaldo, Cafu, Jorginho, Ricardo Rocha, Dunga, Claudio Tafarel, Branco, Aldair, Márcio Santos, Zinho, Mazinho, Paulo Sergio, na wengineo…..
Ile Brazil ilikuwa ukiwapa mwanya tu imekula kwako.
Na ndo maana walicheza kwenye fainali kwa mara tatu mfulilizo, 1994, 1998, na 2002 na wakashinda kombe mara mbili kati ya hizo tatu.
Hawa ma influencers wa siku hizi kazi yao kujichora ma tattoo na kutoboa pua na masikio.
Colombia inanikumbusha Chile miakaa flani hapa katikati walikuwa wanapiga boli na uhuni wanajuaBrazil wamekuwa mdebwedo mbele ya Argentina miaka ya hivi karibuni, mwanaume Colombia wanapiga mpira ukiwazingua vinatembea vitu.Messi fainal Copa America 24/25 dk za mwanzo kipindi cha kwanza wakamkanya kifundo. Baada ya hapo ilikuwa mwendo wa kutembeza viatu mwanzo mwisho mechi ilienda mpaka dk 120 ndipo Lautaro akatupia.
Yo, Colombia wako vizuri aisee. Wanatishia amani ya kila timu iliyobaki.Brazil wamekuwa mdebwedo mbele ya Argentina miaka ya hivi karibuni, mwanaume Colombia wanapiga mpira ukiwazingua vinatembea vitu.Messi fainal Copa America 24/25 dk za mwanzo kipindi cha kwanza wakamkanya kifundo. Baada ya hapo ilikuwa mwendo wa kutembeza viatu mwanzo mwisho mechi ilienda mpaka dk 120 ndipo Lautaro akatupia.Tena yule mwamba aliye mkanyaka Messi alikuwa anawindwa ilikuwa kama vita.
Yeah kipa akawa anacheka tuNa hata alivyofunga alienda kumwambia tena kitu
Chile ndio vichaa kabisa, yaani wale Paraguay ni walokole mbele ya Chile.Colombia inanikumbusha Chile miakaa flani hapa katikati walikuwa wanapiga boli na uhuni wanajua
SidhaniNgoja tuone.
Egypt anaweza akaushangaza ulimwengu hapo kesho.
Tena saa moja tu