Mtani Mtani. Umeona tulivyowakazia lakini.Haya bhana, ila hao Cape Verde zikipungua sana goli 3
Kuanzia leo nitakuwa pamoja nawe Mtani.Haya bhana, ila hao Cape Verde zikipungua sana goli 3
Kabisa. Amejua kutupoteza aisee. 😃Ila mganga ni tapeli sana
mwishowe maombi yako yakatimia Mtani.Acha ipoe kikubwa Misri waibuke na ushindi
Muda utatoa jibu...Brazil naionea huruma sana, anaweza akamfunga Norway, akamfunga mshindi kati ya England na mexico, lakini kwa Argentina hatoboi
😀 Acha zako Mkuu. Hapo anasoma ubao.
Lakini Argentina pia ana kipengele kikubwa kwa ColombiaMuda utatoa jibu...
He was like " Hey Dad as you can see these boys are tougher than we expected, so could you please give us this thing"😀 Acha zako Mkuu. Hapo anasoma ubao.
Asamoah gyan mtu hatariTatizo consistency mkuu unakumbuka drama za Ghana johberberg kwa Mandela🤣