2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wafuasi wa ngamia wanatapata, tuliwapa matumaini hewa na vile furaha zao huwa hazidumu kama puto kwenye majani.


#Hallelujah!!!
IMG_0730.jpeg
 
Ghana leo kama fitness yao ya mashaka watapigwa nyingi maana hawa Colombia ni wanakasi kwenye kuattack, halafu wana recover mipira waliyo ipoteza ndani ya sekunde chache, yaani hawakupi nafasi ya kutulia.
 
Back
Top Bottom