2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kwa taarifa yako tu kwenye Mashindano ya mwaka huu Messi hana Assist hata moja mpaka sasa.
Ilikuwa leo awe na assist ya 9 kanuni za FIFA zimeiondoa


Kauli ambazo zitatawala leo na kesho:

“Argentina hawafiki mbali kwa timu hii”

“Argentina ukimtoa Messi hakuna kitu”

Kama unaona Cape Verde ameonewa lete timu yako kumanina
 
Back
Top Bottom