2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

The struggle was real
FB_IMG_1783166369554.jpg
 
Wakati tukimpongeza Messi kwa kuandika rekodi ya kwanza kwa dunia kuwa na mfungaji bora mwenye goli 20.
1783170651466.jpeg


Tukumbushane na zile nchi ambazo alizifunga kwenye haya mashindano hadi kufikisha jumla ya idadi ya mabao 20.

🇷🇸 Serbia & Montenegro - 1
🇧🇦 Bosnia & Herzegovina - 1
🇮🇷 Iran - 1
🇳🇬 Nigeria - 3
🇸🇦 Saudi Arabia - 1
🇲🇽 Mexico - 1
🇦🇺 Australia - 1
🇩🇿 Algeria - 3
🇦🇹 Austria - 2
🇯🇴 Jordan - 1
🇨🇻 Cape Verde - 1

Hayo ni magoli 16 kati ya magoli 20 aliyofunga.

Hayo manne mengine ni dhidi ya

🇭🇷 Croatia - 1 (penalty)
🇫🇷 France - 2 (1 penalty, 1 open-play goal)
🇳🇱 Netherlands - 1 (penalty)

So hapa tunaona goli 3 kati ya nne alizofunga kwenye hizi giant timu zilikuwa ni penalty.
 
Back
Top Bottom