2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Nilikuwa naangalia highlights ya mechi ya Argentina Vs Cape Verde nikakutana na hili tukio.
FB_IMG_1783171310919.jpg

Hili tukio likanifanya nikumbuke criticism dhidi ya Ronaldo.

Ronaldo eneo hili akikosa goli anaitwa Mzee, hana kiwango, amechoka, hana talent, anaigharimu timu, mbinafsi.

Lakini Messi anaposhindwa kufunga nafasi ya wazi kama hii unakuta sifa anapewa kipa au mpira ukienda off target utasikia excuse za kwamba hana siku nzuri na vitu kama hivyo.

Hypocrisy is when the same incident happens, yet different opinions are provided.

Bado naendelea kuangalia.
 
Back
Top Bottom